Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kurubembe hiloHuyu mama dangote sio mzima ktk ubongo wake. Hana hata mshipa wa utu wa kibinadamu lol.
Eeeh,domo mchagga tena?Leo mambo hadharani, Mondi ni Mchaga na sio Muha.
Kwani hujui ubuyu mpya kuhusu Mondi? [emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh,domo mchagga tena?
Yaaan anakera huyu mama na mambo yake meusi aaaah.Kurubembe hilo
Nidm kule nilipokukoti please😀😀😀Nimecheka vile mnachambua maudhui ya picha.
Wale tuliosoma geography paper 2 topographic features tuko vizuri😀😀😀😀
Huyo sio baba Diamond. Huyo sio baba diamond OG.
Hii siri siku moja itafichuka tu waTanzania mtaujua ukweli.
Umeandika vizuriHiyo picha haitoshi kuthibitisha kama mzee baba alikuwa anaipenda familia yake
Ukiangalia hiyo picha kwa umakini inaonyesha hapo Diamond na mama yake walienda nyumbani kwa mzee baba na inawezekana mama Diamond hapo alifuata pesa ya matunzo ya mtoto sijui kama alipewa au hakupewa
Pia inaonyesha mzee baba ana furaha lakini mama mond hana furaha yani hapo kuna kitu hakipo sawa
Lakini pia Diamond na mama yake walikuwa wanaishi Tandale na mzee baba alikuwa anaishi manzese ki uhalisia tandale na manzese ni eneo moja tu hivyo mzee baba alikuwa na nafasi ya kuonyesha upendo kwa mtoto wake
Ila ni bora hamsamehe tu maana ameshajifunza mengi sana
Kwa sababu watoto waathirika wakuuUgomvi wa wazazi wnarithishwa watoto
Mtoa pesa au msaada ana haki ya kumchagua wa kumsadiaNa kwanini apangiwe sehemu ya kupata msaada ikiwa yeye anaona sehemu anayostahili kuupata msaada huo?
Hili pekee ni tatizo, linafikirisha kwa mengi
Hàpo umepigilia msumari mkuuVipi Queen Darleen naye,mama yake naye alikuwa mcharuko? au alikuwa anapenda maisha ya juu? au naye alikuwa anapenda viben ten?
Umezalisha mwanamke wa kwanza ukamtelekeza,wa pili naye umezalisha ukatelekeza,still mpaka hapo bado una mlaumu huyo Mama,yaani wanawake wawili wote wawe na matatizo,hilo haliwezekani.
Sasa hatajiungaje wakati mama dangote ana mume tayari ?Nani amesema kutelekezwa ni sawa. Wewe ndo unaforce vinyongo. Na ukristu haifundishi hv. Baba ameona alikokosea. Ametamani kujiunga na familia yake tena. Kosa liko wapi. Mama ndo hataki baba kupewa maupendo. Kwangu ana ushetani
Kwani kuungana ni mpaka warudiane? Si kuna co parenting?Sasa hatajiungaje wakati mama dangote ana mume tayari ?
Co parenting ni kwa watoto , diamond ni mtu mzimaKwani kuungana ni mpaka warudiane? Si kuna co parenting?
Watu wanafiki sana , kwann hawamchangia pesa Mzee Abdul Kama wanampenda ? Porojo nyingiDua za kuku hizo! Na kosa lake ni kutumika na media! Lakini yote kwa yote, tuache unafiki wa kujifanya mnamhurumia sana huyo mzee!!