Huu Ushindi wa Dr Tulia Ackson umekosa mvuto baada ya kuona Somalia, Malawi na Senegal ndio washindani wake. Je IPU ni bunge la Kusini mwa Sahara?

Huu Ushindi wa Dr Tulia Ackson umekosa mvuto baada ya kuona Somalia, Malawi na Senegal ndio washindani wake. Je IPU ni bunge la Kusini mwa Sahara?

Kwa taarifa yako ni hicho ni cheo chenye faida kwake binafsi. Hata angekuwa katibu mkuu wa UN, kwani hiyo UN kwa siku hizi ina impact gani kwenye Dunia hii, sembuse hiyo sijui ICU? Inshort NJ cheo kisicho na tija yoyote zaidi yake na familia yake.
Ukweli mtupu
 
Vyeo visivyo na tija. Watu wajinga tu ndio hugombea vyeo vya aina hiyo. Ni sawa na mwanafunzi kugombea kuwa class monitor au kaka/dada mkuu. Ni upuuzi mtupu.
Relavant example kabisa
 
Back
Top Bottom