Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 384
- 884
Ingefaa wangerusha live pia! Ambao hatutaweza kufika we’re eager to hear the preacher too!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata hawa wamataka jamii imlejee mwenyezi Mungu acha wachahafue pote maana mauaji na ukatili na mambo ya kijinga yameongezeka kwa watu kumuacha Mungu.Upuuzi mtupu. Uchafuzi tu wa mazingira. Wahusika wakamatwe wawajibishwe kwa mujibu wa sheria za mazingira.
mbona uwamnatembea na CD na tv na kuonyeasha watu picha mchana wa jua kaliii.Sijawahi kuona wahubiri wa kiislam wanaokuja hapa nchini kuhubiri wanaweka mabango hata chumbani mwao tu, hii dini hii mmh
Is it a coincidence? Programmed by the Heavens or it was planned?
Kama ilikuwa planned basi jamaa alie plan atakuwa genius wa PR, Alastair arudi shule akasome.
Wameweka matangazo Dar nzima sasa hivi watanzania kwenye social networks wanafanya free publicity bila kujua kama wanasaidia kupromote event ya wahusika.
Habari za huu mkutano zimefika hadi Nigeria kwenye blog ya LindaIkeji.
Ni mkutano utakaofuatiliwa na mamilioni ya watu.
Mwanzoni nilikuwa nikipishana na haya mabandiko nilikuwa nachukulia poa tu kama mkutano wa kawaida. Lakini Sasa hivi naanza kuhisi huenda huyu mtumishi atakaye hudumu kwenye huu mkutano ana nguvu na kusudi la Mungu ndani yake.
Watakao pata bahati ya kuhudhuria mkutano wa huyu Mtumishi Kuna kitu fulani kutoka kwa Mungu watakipata
Big up Sana kwenu.
View attachment 1951362
Asante sana mkuu na wewe kwa kuendelea kupromote...nami nachukua fursa hii adhimu..kukuaribusha wewe na familia yako..marafiki na majirani zako. Huu si mkutano wa kukosa. Wale wahenga wezangu tulikua tunasoma katikati ya mji enzi hizo..pale Azania na jangwani ukisikia Reinard Bonke yuko mjina lazima tuturoke kipindi cha jion kuwahi...huyu ndio mtoto wake wa kiroho...aliemwachia huduma.si kama wahubiri wetu wengi bongo..wenye matangazo ya mafuta..keki za upako nk...huyu ni neno tu..pata maarifa..jenga imani..kisha muujiza unakuja bila mafuta wala mbwembwe.
Nashauri wale wenzangu wasipenda injili za magumashi..huku ndio kunatufaaa. Karibuni sanaaaaaaaaa!
Katoka lini kwa Mungu?Is it a coincidence? Programmed by the Heavens or it was planned?
Kama ilikuwa planned basi jamaa alie plan atakuwa genius wa PR, Alastair arudi shule akasome.
Wameweka matangazo Dar nzima sasa hivi watanzania kwenye social networks wanafanya free publicity bila kujua kama wanasaidia kupromote event ya wahusika.
Habari za huu mkutano zimefika hadi Nigeria kwenye blog ya LindaIkeji.
Ni mkutano utakaofuatiliwa na mamilioni ya watu.
Mwanzoni nilikuwa nikipishana na haya mabandiko nilikuwa nachukulia poa tu kama mkutano wa kawaida. Lakini Sasa hivi naanza kuhisi huenda huyu mtumishi atakaye hudumu kwenye huu mkutano ana nguvu na kusudi la Mungu ndani yake.
Watakao pata bahati ya kuhudhuria mkutano wa huyu Mtumishi Kuna kitu fulani kutoka kwa Mungu watakipata
Big up Sana kwenu.
View attachment 1951362
Sijawahi kuona wahubiri wa kiislam wanaokuja hapa nchini kuhubiri wanaweka mabango hata chumbani mwao tu, hii dini hii mmh
Anaitwa Nani Jina lake?
Uko sawa kabisa, waliwahi kuja mkoani kwetu pia...Hafu hawo jamaa mimi nilijua kwenye mikutano yao wanachukua sadaka hawataki hata mia yenu wanasema sadaka zenu mpeleke makanisa mnayo sali siku ya jumapili.
Kwani wamekatazwa?Sijawahi kuona wahubiri wa kiislam wanaokuja hapa nchini kuhubiri wanaweka mabango hata chumbani mwao tu, hii dini hii mmh
Daniel KolendaAnaitwa Nani Jina lake?