Huu utaratibu wa kitanda kimoja mke na mume umetokea wapi?

Huu utaratibu wa kitanda kimoja mke na mume umetokea wapi?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.

Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
 
Hali ya maisha, kutokuwa na ufahamu wa maisha, kuiga uzungu na mengine hupelekea tukafanya mengi bila kujali athali zake. Kama umeliona hili ni vema ukaanza kurekebisha...
  1. chumbani kila mtu na kitanda chake.
  2. Mwanamume usilelewe simamia majukumu yako.
  3. Marufuku watoto kuingia chumbani kwa wazazi.
  4. Marufuku baba kushinda na boxer nyumbani.
 
Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.

Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
Usiku huwa ana joto sana mwili mzima, anakuwa anatupasha wote kwa pamoja.

Mkilala tofauti utapata wapi lile joto
 
Mm babu yangu hakua na kitanda kimoja bali alijenga nyumba ndogo ndogo kwa ajiri ya wake zake harafu nyumba kubwa ndo alikua anakaa yy bibi zangu walikua wanaenda kulala kwa zam na sisi wajukuu ilikua ukienda unalala nyumba kubwa yaani nyumba anayo lala babu.Kila sehem walikua na mila zao.
 
Back
Top Bottom