Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nawe kwanini ujambe hovyo hovyo? 🤣🤣 nenda hosp katibiweaisee tunajambiana tunakerana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe kwanini ujambe hovyo hovyo? 🤣🤣 nenda hosp katibiweaisee tunajambiana tunakerana
Ndoa za siku hizi za vibuyu lazima ateme bungo 😹😹😹Haha, umechoka mapema sana
Bora hao wazee wako walikuwa na akili ...mimi nasema ni bora mume na mke wawe na vyumba tofauti ili kudumisha saikolojia ya penzi maana kulala chumba kimoja siku zote mnakinaiana mapema sana.Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.
Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
Hivi hii inawezekana kweli? Hawapigi kimasihara??usiige sana wazee watakushangaza , babu yangu na bibi yangu kila mtu analala chumba chake ila wanakutana seating room kupiga story muda wote wako pamoja wanamasihara balaa ukiwakuta muda wote wanacheka wapo at their mid 80s kumbe bhana hawa wahuni waliachana tangu 1980 hata kwenye familia wanajua wachache sana hata watoto wao hawajui labda wasunuliwe na wazee baba za wakubwa
sasa wewe waige babu zako kuweka vitanda viwili ukute role modal wako waliachana hata kabla hujazaliwa saiv ni room mates tu
HahahaaSio mke zaidi ya mmoja,
Wake zaidi ya wawili
VIjana wengi kwa sasa wamepanga mjini na wanavipato vya wastan hivyo wamepanga vyumba,kwa sasa kupata chumba cha kuaocodamate vitanda viwili utakipata wapi?Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.
Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
Welcome back my loving sister <3Ndoa za siku hizi za vibuyu lazima ateme bungo 😹😹😹
😍😍😍 Vibuyu WorldwideWelcome back my loving sister <3