Huu utaratibu wa kitanda kimoja mke na mume umetokea wapi?

Huu utaratibu wa kitanda kimoja mke na mume umetokea wapi?

Mimi baada tu ya kupata mtoto wa kwanza nikapata na sababu ya kuwa na kitanda changu akija kwangu ni pipe tu akiwa kwenye anga zao za majuu hanisogelei kabisa akija basi na mliwadha badae ataenda tu nikilala. Kuna raha yake asee.

Shida ya wengi humu jamvini vyumba vyao kama chooni yaani hakigawanyiki.
 
Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.

Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
Naona yamekukuta😁😁😁
 
Mm babu yangu hakua na kitanda kimoja bali alijenga nyumba ndogo ndogo kwa ajiri ya wake zake harafu nyumba kubwa ndo alikua anakaa yy bibi zangu walikua wanaenda kulala kwa zam na sisi wajukuu ilikua ukienda unalala nyumba kubwa yaani nyumba anayo lala babu.Kila sehem walikua na mila zao.
ila mizee ya zamani ilikuwa mishababi hasa. Mke anapelekewa taarifa tu kuwa kuna mke mwingine.

Siku hizi wanawake wanajifanya wao ndio vidume kwa kumiliki michepuko mingi kuliko hata waume zao.
 
Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.

Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
Hata Mfalme na Malikia wa Uingereza hawalali kitanda kimoja. Tena wao wameenda mbali kidogo, hawa lali chumba kimoja. King au Queen akimuhitaji mwenzake, King anaenda kwenye chumba cha Queen ili 'Actualization of marriage or consumption to take place'
 
Hata Mfalme na Malikia wa Uingereza hawalali kitanda kimoja. Tena wao wameenda mbali kidogo, hawa lali chumba kimoja. King au Queen akimuhitaji mwenzake, King anaenda kwenye chumba cha Queen ili 'Actualization of marriage or consumption to take place'
Mwingereza wa Keisho huyo umeyajuaje hayo.
 
Zamani walikuwa hawajui kujipamba zaidi ya kunuka mijasho; kwa nyakati hizi za vipodozi, anakuwa ananukia waridi, unatamani muda wote awe mikononi mwako.
Kwa hiyo, kilichokuwa kinawatenganisha ni harufu.​
 
Mtu ukimjua kiundani na kuzoeana heshima hupungua. Ile mysteriousness inakuwa haipo tena. Hao wazee walikuwa wanafanya hivyo ili kukeep hiyo mysteriousness, hali ya kutokuwa na uhakika. Ili wanawake wasiwazoee na kuwagundua moja kwa moja na kukeep heshima. That's why wanawake wa zamani walikuwa na bado wanaheshimu sana wanaume.

Forget the past. Ukisika neno mke wangu zama hizi, basi lina maana yake. Mke wangu basi nitalala naye chumba kimoja, atavaa nguo moja bila kitu ili kuruhusu body contact at a full capacity na atakumbatiwa mpaka asubuhi. Hili baridi sio mchezo. And it's for the best to keep that pussybag at a close range as of to avoid any unethical use of one's hands, hence as to maintain cultural prosperity as a nation.

Hakuna kitu kizuri kama kukumbatia usiku aisee. Hao wazee walikosa mengi.
 
Back
Top Bottom