900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
tena hakuna cha ohh romance nikuweka tu mzigo ndani ukimaliza ni kwenda kunawaYani nikulipie mahari halafu ulale kitanda kingine. Unalala hapo hapo na mimi tena uchi kabisa.
Inatakiwa nikigeuka nikutane na msambwanda.
Sasa huo uonevu 😀 😀 😀 😀 😀tena hakuna cha ohh romance nikuweka tu mzigo ndani ukimaliza ni kwenda kunawa
hapana mzee kuna ile ya saa10 alfajari mike imesimama ile mbaya ila mwenzako anakwambia bado na kausingizi yeye anakutegeshea kwa nyuma unapita kwa staili ya mjusiSasa huo uonevu 😀 😀 😀 😀 😀
hapo kama mkavu mchawi mate tu, akizubaa imoooooooooooooooooooohapana mzee kuna ile ya saa10 alfajari mike imesimama ile mbaya ila mwenzako anakwambia bado na kausingizi yeye anakutegeshea kwa nyuma unapita kwa staili ya mjusi
ni mwendo wa kumtandika mwizi kimyakimyahapo kama mkavu mchawi mate tu, akizubaa imoooooooooooooooooooo
inaitwa kibubu bubu hiyo, atajifanya hataki mwisho wa siku anakusukumizia yote.ni mwendo wa kumtandika mwizi kimyakimya
Naona yamekukuta😁😁😁Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.
Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
🙉🤣🤣🤣Yani nikulipie mahari halafu ulale kitanda kingine. Unalala hapo hapo na mimi tena uchi kabisa.
Inatakiwa nikigeuka nikutane na msambwanda.
ila mizee ya zamani ilikuwa mishababi hasa. Mke anapelekewa taarifa tu kuwa kuna mke mwingine.Mm babu yangu hakua na kitanda kimoja bali alijenga nyumba ndogo ndogo kwa ajiri ya wake zake harafu nyumba kubwa ndo alikua anakaa yy bibi zangu walikua wanaenda kulala kwa zam na sisi wajukuu ilikua ukienda unalala nyumba kubwa yaani nyumba anayo lala babu.Kila sehem walikua na mila zao.
Hata Mfalme na Malikia wa Uingereza hawalali kitanda kimoja. Tena wao wameenda mbali kidogo, hawa lali chumba kimoja. King au Queen akimuhitaji mwenzake, King anaenda kwenye chumba cha Queen ili 'Actualization of marriage or consumption to take place'Familia zilizo nyingi kwa sasa mke, mume hulala kwenye kitanda kimoja 6* 6 , au 5*6 na mkiwa na mtoto mdogo naye atalala hapo. Lakini kwa wazee wa zamani hili lipo tofauti kidogo, babu yangu chumba chake kulikuwa na vitanda viwili. Chumba Cha wazazi wangu kulikuwa na vitanda viwili.
Kipi walikuwa wanakosa wazee hawa wa zamani ambao hata ndoa zao zimedumu kwa miaka mingi na walikuja kutenganishwa na kifo, kipi kubwa tunapata sasa kupitia kitanda kimoja, vipi kwa tunaotumia pombe unapolala la mwenzako kitanda kimoja anajisikiaje, unapataje mzuka wa kula tunda kwa mtu ambaye muda wote mnalala sehemu Moja, aisee tunajambiana tunakerana, nawaza kurudi kwenye huu mtindo wa kizamani ili kuboresha mahaba chumbani kwangu
Mwingereza wa Keisho huyo umeyajuaje hayo.Hata Mfalme na Malikia wa Uingereza hawalali kitanda kimoja. Tena wao wameenda mbali kidogo, hawa lali chumba kimoja. King au Queen akimuhitaji mwenzake, King anaenda kwenye chumba cha Queen ili 'Actualization of marriage or consumption to take place'
mwenza wake haja update limbwata huyu!Umeshaanza kumchoka mweza wako wewe..!!