- Thread starter
- #81
Au mkuu unamaanisha kutunza pesa kwenye madini yenye thaman kama dhahabu? Hivi bank zetu zinaruhusu mtu kutunza dhahabu?Zipo ndio..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mkuu unamaanisha kutunza pesa kwenye madini yenye thaman kama dhahabu? Hivi bank zetu zinaruhusu mtu kutunza dhahabu?Zipo ndio..
Kha mbona wanapunja hivyoAsilimia moja ya pesa uliyoweka,milioni tano ukiweka unapata elfu 50 kila mwezi.
Wanapunja lakini salama,na ni bora kuliko bank.Kha mbona wanapunja hivyo
Unaingizaje mzigo hukoWanapunja lakini salama,na ni bora kuliko bank.
Kwanini hautoshi? Wafanyakazi wakipata mshahara zaidi wanaongeza na matumizi zaidi. Yako unayoiona ndogo kuna watu wanaishi kwa nusu ya hiyo au hata robo yake na maisha yanaendelea.Mkuu kujilipa inabidi uwe na kipato cha ziada,wafanyakazi wengi mshahara hautoshi hata mahitaji muhimu,hela ya kujilipa na kusave unatoa wapi?
Hivi hao UTT hawajawahi kuwa na liquidity issues? Nayo ni risk.Maeneo yapo,ila risk ni kubwa kupoteza hata huo mtaji wako ni dakika sifuri. Bonds na UTT return ni ndogo lakini ni zero Risk..
Zirudishe Malila. Kulikuwa na harakati za kuanzisha JF saccoss by members hela hadi zikarudishwa. Naona wabongo ni watu wa kufanya vitu vyao wenyewe wenyewe hizi collabo zinatushinda😊Umenikumbusha mbali sana,
Huko nyuma JF tuliwahi kuwa na Chai day, maalumu kwa ajili ya kuongea mambo ya uwekezaji. Siku nzima hakuna kunywa ulabu kwenye mkutano, tuliwahi fanyia mikutano Lunch Time Hotel, Law school of Tanganyika, Luther House, those good days sijui zimepotelea wapi.
Hizo biashara za kutaka returns za chapchap ndio mwisho wa siku unapoteza hadi mtaji. Kuajiriwa na kufanya biashara kwa mazingira ya sasa kwakweli ni magumu. Utajikuta unawatengenezea watu ulaji tu kisa umekosa muda wa kusimamia vyema.Biashara nimeshajaribu tatu na zote zilinishinda,ni hela nilipoteza. Kwenye viwanja nakubaliana na wewe,lakini kwenye majengo nadhani ni mada fikirishi bado..Unaweka milion 60 yako kwenye nyumba,je ni lini utaona faida ya hiyo hela ulowekeza?
Kweli kabisa,bado unafungua biashara Morogoro then unapata uhamisho kwenda Pwani...Huku nyuma biashara yako unamwachia nani?Hizo biashara za kutaka returns za chapchap ndio mwisho wa siku unapoteza hadi mtaji. Kuajiriwa na kufanya biashara kwa mazingira ya sasa kwakweli ni magumu. Utajikuta unawatengenezea watu ulaji tu kisa umekosa muda wa kusimamia vyema.
Liquidity ni nini boss?Hivi hao UTT hawajawahi kuwa na liquidity issues? Nayo ni risk.
Kweli boss,tumeshajadili huko nyuma,Mshahara hakuna unaotosha ni kubana matumizi yako,pia tumejadili saving iwe sehemu ya bills unazotakiwa kulipa mwezi husika.Kwanini hautoshi? Wafanyakazi wakipata mshahara zaidi wanaongeza na matumizi zaidi. Yako unayoiona ndogo kuna watu wanaishi kwa nusu ya hiyo au hata robo yake na maisha yanaendelea.
Karibu sana boss.Hongera na shukrani Kwa Uzi mzuri na wenye tija kama huu mkuu
piga hii namba mkuu *150*82# utafungua akaunti humo. Ila kama upo Dar nenda Posta Sukari house wana ofisi pale. Utaelekezwa kuhusu mifuko waliyonayo utachagua upi unaokufaa na akaunti unaweza fungua hapo hapo.Unaingizaje mzigo huko
title ilikuwaje?Mods wa JF bwana mnapenda sana kujifanya wajuaji,kwa tabia zenu za karibuni nilijua mtavamia huu uzi pia,sasa mmebadili title yangu ilikuwa na shida gani? Nyie wenyewe si mmeajiriwa mbona hamkuandika uzi wenu?
WAAJIRIWA TUKUTANE HAPA TUJADILI KUHUSU UWEKEZAJI....kama nitakuwa nimekosea basi bahati mbaya.title ilikuwaje?
wanakera, wanajidai wapo kichwani kwa kila mtu. mtu alichoandika ndilo wazo lake, badala ya kuedit title za watu nao c waandike hicho wanachoona kinafaa!
hii hapa comment ya mdau nimetoa kwenye uzi wingine,nimeona inatufaa sana.