Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Anataka PM 😁Labda ana kitu mkuu,mkaribishe aje kushea hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka PM 😁Labda ana kitu mkuu,mkaribishe aje kushea hapa.
Bodaboda sio uwekezaji,ni Biashara ina mzunguko na inahitaji usimamizi. Mie binafsi hii biashara nimeona ina faida kiduchu,pia risk ya pikipiki kuibiwa,kupata hitilafu,service,dereva kukosa hesabu au kutokuwa mwaminifu ni kubwa. Naona wanaofaidika ni wale wanaoendesha wenyewe.Nimesoma comments zote hamna hata aliyeongelea kabusiness ka boda boda. Kwahiyo mimi hii pesa niile tu 😁😁
Boda wangu ananiambia nimnunulie pikipiki ya mkataba. Sijashindwa, ila masharti yangu ananiambia ni magumu, na mm yake namwambia biashara kichaa hiyo siifanyi.Bodaboda sio uwekezaji,ni Biashara ina mzunguko na inahitaji usimamizi. Mie binafsi hii biashara nimeona ina faida kiduchu,pia risk ya pikipiki kuibiwa,kupata hitilafu,service,dereva kukosa hesabu au kutokuwa mwaminifu ni kubwa. Naona wanaofaidika ni wale wanaoendesha wenyewe.
Na aliye editi kiswahili kinampa shida kwa kiasiWAAJIRIWA TUKUTANE HAPA TUJADILI KUHUSU UWEKEZAJI....kama nitakuwa nimekosea basi bahati mbaya.
Collabo zinatushinda sana Bongo, tulipiga collabo moja kubwa, inachechemea bado. Naogopa sana collabo na Wabongo, janja janja, uvivu na kujivuta. Bora ukomae kivyako taratibu unafika.Zirudishe Malila. Kulikuwa na harakati za kuanzisha JF saccoss by members hela hadi zikarudishwa. Naona wabongo ni watu wa kufanya vitu vyao wenyewe wenyewe hizi collabo zinatushinda😊
Wala ndugu cna biashara yoyote nataka kufanya na mtu ni just kuwaonyesha watu wazo mbadala tu. Sisi wengine kwenye kuzunguka kwetu tunakutana na Mambo mengi hatuna roho ya kwanini. Hata hivyo nishaufunga mjadala.Kuna mtu anasubiriwa kugeuzwa kuwa fursa hapa.
Mie biashara ya boda boda kiujumla huwa naona ni kichaa.Boda wangu ananiambia nimnunulie pikipiki ya mkataba. Sijashindwa, ila masharti yangu ananiambia ni magumu, na mm yake namwambia biashara kichaa hiyo siifanyi.
Inalipa kama angekubali masharti yangu. Au hivyo ukiendesha mwenyewe,,
Nina route nyingi za boda mimi kwake kukosa hesabu itakuwa nadra sana.
Karibu boss tuendelee kuchangiaWala ndugu cna biashara yoyote nataka kufanya na mtu ni just kuwaonyesha watu wazo mbadala tu. Sisi wengine kwenye kuzunguka kwetu tunakutana na Mambo mengi hatuna roho ya kwanini. Hata hivyo nishaufunga mjadala.
Nina jamaa yangu fulani kama huwa ananiambia ukweli wameungana kikundi wamefungua bank yao ya mtandaoni. Wanadeposit hela na kukopeshana,nilichopenda kwao wanakopeshana mpaka milioni 20 kwa riba nafuu sana.Collabo zinatushinda sana Bongo, tulipiga collabo moja kubwa, inachechemea bado. Naogopa sana collabo na Wabongo, janja janja, uvivu na kujivuta. Bora ukomae kivyako taratibu unafika.
Ufugaji unataka mudaHii ishu ya ufugaji niliwaza kuifanya kwa large scale,Nitafute eneo kubwa huku mkoani Mara,nijenge mazizi na kijumba cha mchungaji,alafu niweke ng´ombe,mbuzi na kondoo. Ila ishu ya usalama wa hiyo mifugo ndio ilinipa wasiwasi maana inabidi ufuge eneo ambalo halina watu wengi,porini huko kwenye majani mengi.
Ulikuwa unafanya biashara gani?Biashara nimeshajaribu tatu na zote zilinishinda,ni hela nilipoteza.
Mshahara wangu ni 120kHapa sawa..ila mshara laki 6, una mke ndani na mtoto hiyo 20 % huwezi lah sivuo watu walale njaa ndani ya nyumba
Labda kweni.Mkuu Uzinzi unakula hela sana aisee.
Pharmacy,Gas na uwakala wa fedha.Ulikuwa unafanya biashara gani?
#YNWA
Hapa hapafai?Kama wewe ni mfanyakazi na unataka kufanya biashara kubwa njoo inbox
Huo mshahara Ajira gani mkuu?Mshahara wangu ni 120k
Nina watoto wa 4.
Think outside the box
#YNWA
Mimi ni mtumishi piaPharmacy,Gas na uwakala wa fedha.
Labda take home baada ya mikopo ya bank.Huo mshahara Ajira gani mkuu?