Hapa sawa..ila mshara laki 6, una mke ndani na mtoto hiyo 20 % huwezi lah sivuo watu walale njaa ndani ya nyumbaMkuu mimi naweza zaidi ya 20%,kiufupe hela nayotunza ni nyingi kuliko ninayotumia,lakini imewezekana sababu sijawa na majukumu mengi,Nawaza siku ambayo majukumu yatapiga hodi.