Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni sacrifice tu mkuu, hata uongezewe 1M kwenye huo mshahara wako after few months, ukishaadopt maisha mapya ya kipato cha juu basi utaona pia hup haukutoshi.Mkuu kujilipa inabidi uwe na kipato cha ziada,wafanyakazi wengi mshahara hautoshi hata mahitaji muhimu,hela ya kujilipa na kusave unatoa wapi?
Hata kama unapata laki mbili basi hiyo hiyo jitahidi kusave hata 50k.