Kuna watu ambao hawajapata elimu ya Kwanini NEMC inapambana na Bar na Hotel zinazopiga Kelele kisha wakifungiwa wanakimbilia kwenye kichaka cha Muziki na kudai NEMC inakataza na kuzuia Muziki ili wapenda Muziki wawaunge Mkono.
Ukweli NEMC inataka watu wapige Muziki kwa sauti inayokubalika na Wenye kumbi wote wana kipimo cha sauti inayotakiwa. Au watumie vifaa vya kudhibiti sauti isisumbue watu walio nje ya tukio.
Ulishawahi kukaa mtaani kukaja mkesha wa Harusi ukapamba na kelele hadi ukishindwa kulala?
Kuna watu ambao hawajapata elimu ya Kwanini NEMC inapambana na Bar na Hotel zinazopiga Kelele kisha wakifungiwa wanakimbilia kwenye kichaka cha Muziki na kudai NEMC inakataza na kuzuia Muziki ili wapenda Muziki wawaunge Mkono. Ukweli NEMC inataka watu wapige Muziki kwa sauti inayokubalika na Wenye kumbi wote wana kipimp cha sauti inayotakiwa. Au watumie vifaa vya kudhibiti sauti isisumbue watu walio nje ya tukio.
Ulishawahi kukaa mtaani kukaja mkesha wa Harusi ukapamba na kelele hadi ukishindwa kulala?
Kiukweli nimewaaelewa sana hizi mambo tulihitaji kuzijua mapema sana kwani haya ndo madhara makubwa tunapata kiukweli na NEMC wamesema hapo kuwa hawafungii ila wanadeal nawale wanakaidi kufata sheria sasa wakiguswa wanalipuka wanajiona kama wapo juu sheria wimbo huu uwafikie wote mpaka wakina Msukuma
Kuna watu ambao hawajapata elimu ya Kwanini NEMC inapambana na Bar na Hotel zinazopiga Kelele kisha wakifungiwa wanakimbilia kwenye kichaka cha Muziki na kudai NEMC inakataza na kuzuia Muziki ili wapenda Muziki wawaunge Mkono. Ukweli NEMC inataka watu wapige Muziki kwa sauti inayokubalika na Wenye kumbi wote wana kipimp cha sauti inayotakiwa. Au watumie vifaa vya kudhibiti sauti isisumbue watu walio nje ya tukio.
Ulishawahi kukaa mtaani kukaja mkesha wa Harusi ukapamba na kelele hadi ukishindwa kulala?
Wimbo mzuri sana hapa elimu itafika kiurahisi kwao sana lakini pamoja na wimbo huu ni tiba na unaonyesha kuwa hawa NEMC Wapo serious kwenye hili jambo la kelele chafuzi kiukweli NEMC wanafata sheria ombi kwa wenye Mabar wafate sheria NEMC hawawafungia ila wanataka kutumia vifaaa ili kuweza kupunguza madhara kwa jamii
Wimbo mzuri saana na wametumia ubunifu mzuri kwa video fupi kufikisha ujumbe kwa jamii ,jamii kwa umoja wetu tunapaswa kudhibiti kelele ili jamii yetu iwe sehemu salama na nzuri ya kuishi ,kelele zina madhara makubwa sana kwa jamii kuliko faida kwa wachache
Kuna watu ambao hawajapata elimu ya Kwanini NEMC inapambana na Bar na Hotel zinazopiga Kelele kisha wakifungiwa wanakimbilia kwenye kichaka cha Muziki na kudai NEMC inakataza na kuzuia Muziki ili wapenda Muziki wawaunge Mkono. Ukweli NEMC inataka watu wapige Muziki kwa sauti inayokubalika na Wenye kumbi wote wana kipimp cha sauti inayotakiwa. Au watumie vifaa vya kudhibiti sauti isisumbue watu walio nje ya tukio.
Ulishawahi kukaa mtaani kukaja mkesha wa Harusi ukapamba na kelele hadi ukishindwa kulala?
Kuna watu ambao hawajapata elimu ya Kwanini NEMC inapambana na Bar na Hotel zinazopiga Kelele kisha wakifungiwa wanakimbilia kwenye kichaka cha Muziki na kudai NEMC inakataza na kuzuia Muziki ili wapenda Muziki wawaunge Mkono. Ukweli NEMC inataka watu wapige Muziki kwa sauti inayokubalika na Wenye kumbi wote wana kipimo cha sauti inayotakiwa. Au watumie vifaa vya kudhibiti sauti isisumbue watu walio nje ya tukio.
Ulishawahi kukaa mtaani kukaja mkesha wa Harusi ukapamba na kelele hadi ukishindwa kulala?
NEMC dhamira yao ni njema saana na wanatimiza wajibu wao kama sheria inavyotaka na kwenye swala la kelele wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa ,kikwazo kikubwa ni wanasiasa aina ya kina msukuma au makala wao hawajui sheria inataka nini ? Wala hawafahamu madhara wanachoangalia na faida ya biashara zao ni ujinga mtupu
Kuna watu ambao hawajapata elimu ya Kwanini NEMC inapambana na Bar na Hotel zinazopiga Kelele kisha wakifungiwa wanakimbilia kwenye kichaka cha Muziki na kudai NEMC inakataza na kuzuia Muziki ili wapenda Muziki wawaunge Mkono. Ukweli NEMC inataka watu wapige Muziki kwa sauti inayokubalika na Wenye kumbi wote wana kipimo cha sauti inayotakiwa. Au watumie vifaa vya kudhibiti sauti isisumbue watu walio nje ya tukio.
Ulishawahi kukaa mtaani kukaja mkesha wa Harusi ukapamba na kelele hadi ukishindwa kulala?
Leo hii Dar kuna bar zilikuwa zinapiga makelele vibaya mno zikafungiwa lakini baada ya kukiri makosa yao na kulipa faini sasa wamefunguliwa na sawa biashara zinaendelea bina kero kubwa iliyokuwako awali ,Tusiwavunje moyo NEMC ,wanafanya kazi nzuri na inapaswa kupongezwa kwa kutimiza majukumu yao
Kiukweli nimewaaelewa sana hizi mambo tulihitaji kuzijua mapema sana kwani haya ndo madhara makubwa tunapata kiukweli na NEMC wamesema hapo kuwa hawafungii ila wanadeal nawale wanakaidi kufata sheria sasa wakiguswa wanalipuka wanajiona kama wapo juu sheria wimbo huu uwafikie wote mpaka wakina Msukuma
Wamiliki wa ma Bar na Club wao wakiambiwa wapige mziki kwa viwango vinavyokubalika wanajizimq data ,wakichukuliwa hatua za kisheria wanandamana hii sio sawa ,wafanye biashara lakini wasipige makelele yakapitiliza kiwango ,hatutaki makelele na kero katika jamii
Sio kweli ,Mziki uwe kistaarabu haiwezekani upige mziki mpaka mtaa mzima ukereke ,piga kistaarabu kwa wateja wako ,mtaani watoto wanataka kujisomea lakini jamii inahitaji utulivu na mapumziko ,kuna watoto wachanga ambao wanaweza kuwa viziwi kwa makelele hayo ,Ili jamii iwe salama ni lazima tujifunze kudhibiti kelele