Uchaguzi 2020 Huu wimbo wa CCM wataisoma namba upigwe marufuku kwenye kampeni hizi

Uchaguzi 2020 Huu wimbo wa CCM wataisoma namba upigwe marufuku kwenye kampeni hizi

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Huu wimbo sio rafiki kabisa. Umekaa kama vile unakejeli makundi mbalimbali ya wananchi walioathirika na utawala wa awamu ya tano.

Wepi mnataka waendelee kuisoma namba?

Je, ni wananchi waliopigwa na maisha kutokana ugumu wa upatikanaji wa pesa kwenye utawala huu?

Je, ni vijana waliokosa ajira waliorundikana huku mtaani?

Je, ni wastaafu hawa wanaocheleweshewa mafao yao baada ya kulitumikia taifa kwa muda wote wa maisha yalopita?

Je, wale walioachishwa kazi kwa kukosa cheti cha form four na kutopewa hata nauli?

Je, wafanyakazi waliosoteshwa bila kubadilishiwa madaraja kwa miaka yote mitano ya utawala huu?

Nk, huo wimbo yawezekana ulikua na mantiki kipindi cha nyuma ila kwa sasa nasema noo, huu wimbo utakua unakera watu wengi upigwe marufuku.
 
Huu wimbo sio rafiki kabisa. Umekaa kama vile unakejeli makundi mbalimbali ya wananchi walio athirika na utawala wa awamu ya tano.

Wepi mnataka waendelee kuisoma number?

Mkuu uko sahihi kabisa

Tena una matusi wanaimba “wajinga wale”

Na tena unashabikia na kuhalalisha kila tunaloliona baya la CCM, ni wa kiudhalilishaji, umevaa kejeli na dhihaka.
 
Huu wimbo unaakisi hali halisi ya watanzania kwamba wamesomeshwa namba na bado wangali wwkiisoma namba kwa ufisadi mkubwa, ukabila, utumwa wa kutoa maoni wanayotaka wao tu na usalama duni kwa wale walio kinyume na ntesi wao ndani ya nchi hii.

Kuna kipindi dictator mmoja aliwakejeli watanzania mwaka 2018 kuwa, kama wakiweza kukaa mjini mpaka mwezi wa saba mwaka huo ni wanaume kwelikweli!

Safari hii hatuitaki CCM.
 
Huu wimbo unaakisi hali halisi ya watanzania kwamba wamesomeshwa namba na bado wangali wwkiisoma namba kwa ufisadi mkubwa, ukabila, utumwa wa kutoa maoni wanayotaka wao tu na usalama duni kwa wale walio kinyume na ntesi wao ndani ya nchi hii.
Kuna kipindi dictator mmoja aliwakejeli watanzania mwaka 2018 kuwa, kama wakiweza kukaa mjini mpaka mwezi wa saba mwaka huo ni wanaume kwelikweli!
Safari hii hatuitaki ccm
Nitajie nchi zisizokua na tatizo la ajira duniani
 
UFIPA mtaisoma namba. Na msimu huu JIANDAENI kisaikolojia hasa. Manake mnakwenda kuzisoma namba mapeeeeema saa nne asubuhi
 
Je CCM Mpya 2020 ipo shwari kama walivyoimba 2018 au inapitia katika kipindi kigumu cha kampeni tangu CCM ianzishwe?

Kwenu wanaLumumba mtupe mrejesho usio na inazi wala kuathiriwa na maji ya bendera yahttps://m.youtube.com/watch?v=yPYVgcJzbns ki
 
Halafu kuna ile sehemu "CCM ni ileile ooooh ni ileileeee", sijui watu wanamuelewa Marehemu Komba!!!
 
Huu wimbo sio rafiki kabisa. Umekaa kama vile unakejeli makundi mbalimbali ya wananchi walioathirika na utawala wa awamu ya tano.

Wepi mnataka waendelee kuisoma namba?....

yaaani wimbo tu tayar unawachanganya kisaikolojia,
 
Back
Top Bottom