mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Nchi zilizozubaa😂😂Kwahiyo unahalalisha ukosefu wa ajira nisahihi?nchi zenye shida ya ajira viongozi wake wanapambana kuona vijana wao wanafanikiwa hata kuwapa passport waende nchi zilizozubaa wakapate fursa za maisha
Naona una zile akili za kuzamia meli au kubeba sembe wewe