Noted.Walishika simu yako?
Mteja anauwezo wa kupiga Simu kwenye Kampuni pesa ikurudishwa kwake kutoka kwa Wakala?Kama upo karibu na tigoshop waambie wakupe statement ambayo itaonesha jinsi hiyo miamala jinsi ilivofanyika au mteja kapiga simu tigo huduma kwa wateja pesa ikatowela bila ya wewe kushirikishwa.
Yaaa....yawezekana ila lazima wakala upewe taarifa.Mteja anauwezo wa kupiga Simu kwenye Kampuni pesa ikurudishwa kwake kutoka kwa Wakara?
mbona namba iliyoleta text zote inaonekana ni TIGOPESA?Mkuu apo Kuna kamchezo haiwezekan kumbukumbu namba zikafanana katika miamala miwili tofauti kwahyo Kuna mmoja ni batili, iyo sms ya pili ya Laki5 umeangalia receive imetoka kwa tigo pesa huenda imefanyiwa editing afu wakaifoward kweny no yako kwa mawenge ukahisi ya tigo, nadhani muamala wa 13:24 kina kitu apo na nadhani huo ndio batili
Kweli aisee. Jamaa wameshamramba.Mbona code no. ni 252 na siyo 255?
Mkuu kuna mchezo wamefanya wamemtumia text inayoonekana vile vile kama ya TIGOPESA na mpka no ni ya tigopesa.Ila nadhani Kama alimpatia mteja simu Kuna mistake na kuna kitu wamefanya jamaa