Huu wizi wa halotel mamlaka zinasemaje?

Huu wizi wa halotel mamlaka zinasemaje?

Ais the same to me. Nimeshalalamika sana naambiwa nilijiunga, lakini sijawahi, kila nikiweka vocha wanapita nayo, so siku hizi natumia tu halopea kununua mda wa maongezi
Hawa jamaa nawaita wezi kwa sababu wameniunga na huduma ambayo Mimi siipendi Wala sio kwa matakwa yangu

Huduma hii mwanzo walikuwa Kila siku wanakata sh 100 kwenye Kila vocha ambayo naingiza

Wiki iliyopita nikaamua kuwapigia
Mhudumu wa kwanza : akadai Kuna huduma ya halosoka nilijiunga hivyo hivyo nikitaka kujiondoa nitume neno ONDOA kwenda namba 15603

Nikajaribu kutuma hio text mara nyingi bila mafanikio nikajua labda wanataka vocha nikajaribu kuunga vocha bila kifurushi napo wapi

Nikaamua kupiga Tena , huyu mhudumu wa pili akasema nitume neno OFF kwenda namba 15603
Nikajaribu Tena na tena lakini wapi

Nikapiga Tena huyu mhudumu wa tatu akasema nizime simu then niwashe na Kisha nitume Tena neno OFF kwenda namba 15603 na kweli nikazima na kuwasha lakini hali ikawa vile vile

Nikapiga Tena huyu mhudumu mwingine akasema analiwasilisha kwa kitengo husika ndani ya masaa 24 watakuwa wameondoa . Lakini yalivopita Hali ikawa vile vile na hela nikaendelea kukatwa. Nikaamua kukubaliana na hali yao so nikitaka kifurushi Cha 2000 basi nanunua vocha 2500 Ili wakate na 100 yao

Lakini Juzi nimetulia zangu simu Ipo mfukoni nikaona mlio wa text kutoa simu na kufungua nakutana na message kuwa nimefanikiwa kujiunga na huduma Fulani hivyo nikitaka kujiondoa nitume neno ONDOA kwenda namba 15603 na ada ya huduma ni sh 100 Kila siku

Na Kila nilijaribu kutuma neno ONDOA kwenda hio namba 15603 message haziendi na kwa saivi Kila nikiweka vocha nakatwa sh 200

Nimejaribu kuwapigia customer care majibu yao ni kama wahudumu wa kwanza wale na hakuna ninachosaidiwa
View attachment 2505673

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hawa jamaa ni wezi na matapeli wa kutupwa. Wamekuwa wakiniunga bila ridhaa yangu kwa huduma zao hizo za kiqumer halafu wananiambia kama sitaki nitume ONDOA ili kujitoa. Imagine ni watu wangapi wanaibiwa kwa namna hii, hasa huko vijijini! Hawa mbwa inabidi TCRA iwashughulikie ili washike adabu yao.
 
We ni kilaza by the way..au mwalimu wa kijijini halopesa si unatuma hata kama una voda kwenda halo...
Tulia kiongozi jazba hazisaidii! Some time unakuwa na jero tu na unahitaji mawasiliano ya dharula utawekaje mpesa Ili ujitumie ebu focus kwenye mada kwanza , sio kwamba hizo option za kujirushia kupitia line zingine au kubadili line au kutumia data mtandao mwingine sizijui

Swali ni kwanini wanamuunga mteja huduma ambayo yy haipendi na haina option ya kujiondoa?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sina mpango na hao wezi,kazi yao ni kukuunganisha kinyemela na huduma usiyojua ili wawe wanakata salio kila siku,na TCRA wapo tu hawachukui hatua.
 
Hawa jamaa nawaita wezi kwa sababu wameniunga na huduma ambayo Mimi siipendi Wala sio kwa matakwa yangu

Huduma hii mwanzo walikuwa Kila siku wanakata sh 100 kwenye Kila vocha ambayo naingiza

Wiki iliyopita nikaamua kuwapigia
Mhudumu wa kwanza : akadai Kuna huduma ya halosoka nilijiunga hivyo hivyo nikitaka kujiondoa nitume neno ONDOA kwenda namba 15603

Nikajaribu kutuma hio text mara nyingi bila mafanikio nikajua labda wanataka vocha nikajaribu kuunga vocha bila kifurushi napo wapi

Nikaamua kupiga Tena , huyu mhudumu wa pili akasema nitume neno OFF kwenda namba 15603
Nikajaribu Tena na tena lakini wapi

Nikapiga Tena huyu mhudumu wa tatu akasema nizime simu then niwashe na Kisha nitume Tena neno OFF kwenda namba 15603 na kweli nikazima na kuwasha lakini hali ikawa vile vile

Nikapiga Tena huyu mhudumu mwingine akasema analiwasilisha kwa kitengo husika ndani ya masaa 24 watakuwa wameondoa . Lakini yalivopita Hali ikawa vile vile na hela nikaendelea kukatwa. Nikaamua kukubaliana na hali yao so nikitaka kifurushi Cha 2000 basi nanunua vocha 2500 Ili wakate na 100 yao

Lakini Juzi nimetulia zangu simu Ipo mfukoni nikaona mlio wa text kutoa simu na kufungua nakutana na message kuwa nimefanikiwa kujiunga na huduma Fulani hivyo nikitaka kujiondoa nitume neno ONDOA kwenda namba 15603 na ada ya huduma ni sh 100 Kila siku

Na Kila nilijaribu kutuma neno ONDOA kwenda hio namba 15603 message haziendi na kwa saivi Kila nikiweka vocha nakatwa sh 200

Nimejaribu kuwapigia customer care majibu yao ni kama wahudumu wa kwanza wale na hakuna ninachosaidiwa
View attachment 2505673

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wambie wakuondoe wao wenyewe. Niliwatukana sana na wakaniondoa wenyewe. Ni wapuuzi kweli
 
Back
Top Bottom