Jamani ujana maji ya moto....nilicheza peku kwenye kiwanja fulan nikiamin eti hakiwezi nidhuru bt yaliyonikuta nimechoka...watoto wa mjini wanaita 'nikagongwa' (niliambukizwa std)...nikajitbia na ni zaidi ya mwezi mmoja unusu sijsshiriki na mtu yeyeto tena...ila cha kushangaza ule ugonjwa umerudi tena....plz msaada wa kitaalam jaman!