Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
Habarini za mchana wapwa?
Kama mada inavojieleza. Ukiwa faragha na mwenzako baada ya kufanya mambo yenu huwa mnafanya nini ili kuwa wasafi? Mfano kwa mwanamke, baada ya bao la kwanza huwa anajifuta au ananawa na maji? Hivyo hivyo baada ya bao la pili n.k, utaendelea kujifuta/kunawa na maji hivohivo au anaacha uchafu uendelee kuwepo sehemu za siri? nasema kunawa mara kwa mara kunasababisha uke uwe mkavu baada ya hapo unaweza kuchubuka. Na je kama mnajifuta tu, huwa mnatumia taulo moja wewe na Mwanaume/ mwanamke wako kila baada ya bao? (Mimi ni Mwanamke)
ANGALIZO: Mje taratibu jamani msitoe maneno ya kukera, tunafundishana tu ili kuepuka magonjwa ya uzazi. Ndiyo maana nmeongelea kuhusu usafi baada ya tendo.
Kama mada inavojieleza. Ukiwa faragha na mwenzako baada ya kufanya mambo yenu huwa mnafanya nini ili kuwa wasafi? Mfano kwa mwanamke, baada ya bao la kwanza huwa anajifuta au ananawa na maji? Hivyo hivyo baada ya bao la pili n.k, utaendelea kujifuta/kunawa na maji hivohivo au anaacha uchafu uendelee kuwepo sehemu za siri? nasema kunawa mara kwa mara kunasababisha uke uwe mkavu baada ya hapo unaweza kuchubuka. Na je kama mnajifuta tu, huwa mnatumia taulo moja wewe na Mwanaume/ mwanamke wako kila baada ya bao? (Mimi ni Mwanamke)
ANGALIZO: Mje taratibu jamani msitoe maneno ya kukera, tunafundishana tu ili kuepuka magonjwa ya uzazi. Ndiyo maana nmeongelea kuhusu usafi baada ya tendo.