HUwa mnafanya usafi gani baada ya kufanya mapenzi?

Sijafundwa. Alafu kwani humu kuna wanaume tu?
Karibu tujaribu kisha tuone baada ya kumaliza tutafanyaje?
Ila mi ninachojua usafi hufanyika baada ya kazi show hazikatishwi katishwi...ukianza bao la kwanza unaunga mpk la 2 ama 3 kutegemeana na muda na afya zenu na mmeamua kuishia mangapi.
Kazi ikiisha ni kufuta kwa soft tissue kwanza..Mwanamke anatakiwa awe na vitaulo vyepesi karibu hiyo ni maalum kwa kazi hiyo.
Ngoja niishie hapa,kuna watoto watakuja kusoma hapa ikiwa umri wao bado.
 
Me niliyekutana naye alivaa wigi,kwahiyo tukatumia kufutia🀨🀨🀨
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚huyu hana UTI kwe
Kwahy unakuwa unajiingizia vidole humo ndani? 😎

Kwahy unakuwa unajiingizia vidole humo ndani? 😎
sasa hii si ndiyo haikubaliki nasikia?? Sasa hapo hapi najiuliza, usipojiingizia vidole hizo naniliu zitatojaje??
 
Khaaa! Dada na jua lote hili ngoja weekend
 
Nameuliza kwasababu magonjwa mengi yanayokana na kutojosafisha, na penyewe ukijisafisha sana nmeona mahali wanasema uke unakuwa mkavu sasa hii imekaaje?
 
Alafu kuna hii shida ya mshipa wa ngiri nayo nasikia inatoka na watu kutojisafisha vizuri sehemu zao
 
Ebu njoo PM nikueleleze ili utangulie...πŸ˜‹
 
Ila nasikia kuna wadada ni wasafi, yaani wao wakimaliza kuna namna wanafanya wao na kuwafanyia mwanaume wao duuh najiuliza huwa wanafanya nini???
 
Nameuliza kwasababu magonjwa mengi yanayokana na kutojosafisha, na penyewe ukijisafisha sana nmeona mahali wanasema uke unakuwa mkavu sasa hii imekaaje?
Nimesema tumia soft tissue (towel) laini unafuta uteute majimaji na jasho kwa kutumia hiyo taulo unaloweka kwenye maji na kufuta kama unamwogesha mgonjwa kitandani. Usilale na shahawa ama majimaji ya ukeni kwanza inaleta miwasho
 
niliambiwa ndo nakwangua vizuri, hatakama mzee ana hechiayivii wadudu watatoka woteπŸ˜‚πŸ˜‚
Haviumizi vikucha??,. Maana kulivyo na kangozi kalaini kidole tu hua kinauma nikichamba sembuse kucha jamani uwiiiπŸ₯²
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…