Umepona eeehh?Nasoma comments
Mwingine unakuta hanawi. Yaani hadi hizo makitu zinaganda, kuja kufikia asubuhi tayari wadudu wameshaanza kuzalianaKimoja tu kama nikuoga au kunawa nalala kila mtu nampango wake
Wanamfuta mwanamme kwa kitambaa laini chenye maji vuguvugu na kujifuta wao pia kisha usingizi murua unafuata.Ila nasikia kuna wadada ni wasafi, yaani wao wakimaliza kuna namna wanafanya wao na kuwafanyia mwanaume wao duuh najiuliza huwa wanafanya nini???
Mmmmmh kwamba siyo usafi?? Jamani si wanasema tendo ni pamoja na usafi?Haina haja ya kusafisha...acha zikuongezee vitamin mwilini, mambo ya kusafisha achia porn actors
Yeah naendelea vizuri โบ๏ธโบ๏ธUmepona eeehh?
Na mdada naye anajifuta? Aua ana nawa?Wanamfuta mwanamme kwa kitambaa laini chenye maji vuguvugu na kujifuta wao pia kisha usingizi murua unafuata.
Kwahiyo kila baada ya bao unajifuta?Wanamfuta mwanamme kwa kitambaa laini chenye maji vuguvugu na kujifuta wao pia kisha usingizi murua unafuata.
Labda wanaiga movie zawenzetu jamaa anapiga mambo anavaa nguo anaenda kwenye misheMwingine unakuta hanawi. Yaani hadi hizo makitu zinaganda, kuja kufikia asubuhi tayari wadudu wameshaanza kuzaliana
nna kucha laini๐Haviumizi vikucha??,. Maana kulivyo na kangozi kalaini kidole tu hua kinauma nikichamba sembuse kucha jamani uwiii๐ฅฒ
Thank you. Hapo hapo kwenye miwasho. Unakuta mtu baada ya hiko kitendo anawashwaa mara anaanza kutokwa uchafu baadaye anaanza kunuka.. yaani ni kama kadeposit vitu huko ndani sasa vimedecompose๐๐๐๐Nimesema tumia soft tissue (towel) laini unafuta uteute majimaji na jasho kwa kutumia hiyo taulo unaloweka kwenye maji na kufuta kama unamwogesha mgonjwa kitandani. Usilale na shahawa ama majimaji ya ukeni kwanza inaleta miwasho
Kwani lazima pumziko kila baada ya round moja?Kwahiyo kila baada ya bao unajifuta?
Umeshaelewa?Nasoma comments
Wanawadanganya tu...Mmmmmh kwamba siyo usafi?? Jamani si wanasema tendo ni pamoja na usafi?
Sawa mwaya,.. Enhe ukimaliza mikono unafanyaje unanawa au unaacha hivyohivyo maana hadi nimeaisimka mwilini๐ค๐คnna kucha laini๐
LUnch time now, na zege linakorogwa awamu ya pili so kwasasa tunapumzika muhindi mpaka arud toka kula tuliamshe tenaKaendelee na kazi mwaya
Mikono hii hii tunayopeana tukisamiliana "bwana asifiwe mpendwa"najikwangua na kucha
Wigi unashangaa ila kucha aah!!!๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐ Jaman watu
Nalamba shostiiii๐๐๐๐๐๐๐๐Sawa mwaya,.. Enhe ukimaliza mikono unafanyaje unanawa au unaacha hivyohivyo maana hadi nimeaisimka mwilini๐ค๐ค