Huwa mnafanyaje mnapobanwa sauti na kushindwa kujiinua usiku (night mare)?

Huwa mnafanyaje mnapobanwa sauti na kushindwa kujiinua usiku (night mare)?

Majinamizi.
Mwite Padre akuongoze sala ya toba 🤣🤣
 
Hali kama hii huwa inanitokea pale ninaporukia kitanda bila kusali.

Ukikutana na hali hiyo just muite Yesu akusaidie
Kweli bhana. Jana nimeliangusha bila
Babayetu uliyembinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike.....

Nlisahau, harakati za kusaka ugali mchana zilikuwa ngumu sana mkuu
 
Hali iyo huwa inanitokea sana na swala la maombi nimefanya sana haikusaidia lolote.
Ila nikinywa pombe na nikaingia kulala icho ki2 huwa hakinitokea hata mala 1.
😂😂😂🙌
 
Aminii mimi kuna Nyumba nilikuwa nimepangaa nikawa naamini sayansi sijui umelala vibayaa shenzii nikawa Nikiombaa kabla ya kulalaa hata hainitokeiii ilaa nikiacha kuomba aisee Haipiti siku 3 wayaaaa yani nakabwaaaa balaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] NI UCHAWIII MKUU NA HUKO NDO KUKABWAA.
😂😂😂😂😝
 
Aminii mimi kuna Nyumba nilikuwa nimepangaa nikawa naamini sayansi sijui umelala vibayaa shenzii nikawa Nikiombaa kabla ya kulalaa hata hainitokeiii ilaa nikiacha kuomba aisee Haipiti siku 3 wayaaaa yani nakabwaaaa balaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] NI UCHAWIII MKUU NA HUKO NDO KUKABWAA.
Uko sahihi,ukiwa muombaji mzuri huwezi kupata hiyo kitu
 
Kuna MTU atakuja na sayansi nyingi hapa, lakini nakwambia Mkuu.... huko ndio kukabwa. Jifunze kufanya maombi... halafu muda huu ndio wenyewe em piga goti kemea hizo nguvu za Giza za kichawi na mapepo... in the name of Jesus!!!
Sleeping paralysis kasome uelewe wala hakuna anayekuroga...acha kuropoka
 
Hao ni wachawi mpendwa! Mwamini Yesu na uokoke kabisa! Vinginevyo wewe utakuwa mtumwa wa wachawi

2 Wakorintho 10:3
Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;

2 Wakorintho 10:4
(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome😉

2 Wakorintho 10:5
tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;
Acha siasa...mimi nimeokoka na nina fanya maombi vizuri ila nina hali ya sleeping paralysis hasa nikilala flat bila mto,,,,na wala sio uchawi inanitokea muda wowote mahali popote hadi nimeweza kuicontrol now
 
Hiyo inaitwa "Sleeping Paralysis" hutokea unapolala chali mara nyingi. Au ukiwa umelala kwa muda mrefu sana ukaamka na kulala tena.
 
Kuna jamaa hali hiyo Huwa inamtokea na anahisi kama mtu analazimisha kumuingilia na anakua Hana nguvu za kuongea Wala kujinasua. Akishtuka anajikuta kalala na tumbo.
 
Wakuu habari, this is urgent naomba msaada. Niende moja kwa moja kwenye mada mambo yasiwe mengi.

Nimelala saa nne usiku huu saivi ni saa 7, nilichokurupukia ni ghafla tu nmegundua siko salama, ngozi inavutana na vinyweleo vimesisimka. Nasikia milio ya panya ile (swi swi swi).

Siko usingizini kiuhalisia najaribu kutoa sauti haitoki, nyanyua mkono wapi haunyanyuki. Yaani mwili wote uko disabled kasoro moyo na akili ndio vinafanya kazi.

Hivi ninyi huwa mnafanyaje kupambana na haya ma night mare, wengine huita majinamizi; na yanasababishwa na nini (sababu za hii hali)?
Mkuu ngeta nimewalia nini
Bujibuji Simba Nyamaume bro niambie hapa niwage kwa kutumia nini
Mshana Jr bro GoldenRatio amesema leo wanga wamekuja kuniweka kabali. Naomba niambie chakuwafanya nilipe
Huwezi kulipiza kisasi, sikiliza hiyo audio clip

Jina la Yesu ni kinga na tiba
 

Attachments

Wakuu habari, this is urgent naomba msaada. Niende moja kwa moja kwenye mada mambo yasiwe mengi.

Nimelala saa nne usiku huu saivi ni saa 7, nilichokurupukia ni ghafla tu nmegundua siko salama, ngozi inavutana na vinyweleo vimesisimka. Nasikia milio ya panya ile (swi swi swi).

Siko usingizini kiuhalisia najaribu kutoa sauti haitoki, nyanyua mkono wapi haunyanyuki. Yaani mwili wote uko disabled kasoro moyo na akili ndio vinafanya kazi.

Hivi ninyi huwa mnafanyaje kupambana na haya ma night mare, wengine huita majinamizi; na yanasababishwa na nini (sababu za hii hali)?
Ili swala huwa linanitokea sana na kati ya vitu vnavyonitesa chakwanza ni hiki..
Wakati mwingini huwa naamini kabisa naweza nikafia usingizini..
Na kwakuwa iki kitu ndicho kinachonitesa ivyo ilinilazimu niangaike nalo sana ili kuweza kujinasua.
Ila mpaka sasa cjapata suluisho ila tu nikwamba haijawai tokea nimekunywa pombe alafu huu upuuzi ukanitokea..
Nikinywa pombe nakuwa nipo salama 100%..
Ila maombi na v2 vingine vyote havijawai kunisaidia ni pombe penkee ndo imekuwa msada wangu...
 
Ili swala huwa linanitokea sana na kati ya vitu vnavyonitesa chakwanza ni hiki..
Wakati mwingini huwa naamini kabisa naweza nikafia usingizini..
Na kwakuwa iki kitu ndicho kinachonitesa ivyo ilinilazimu niangaike nalo sana ili kuweza kujinasua.
Ila mpaka sasa cjapata suluisho ila tu nikwamba haijawai tokea nimekunywa pombe alafu huu upuuzi ukanitokea..
Nikinywa pombe nakuwa nipo salama 100%..
Ila maombi na v2 vingine vyote havijawai kunisaidia ni pombe penkee ndo imekuwa msada wangu...
Mimi iyo hali ilikuwa inanitesa sana toka nimebadilisha muelekeo wa kulala saizi Mambo ni Safi kabisa nakushauri change upande wa kulala.
 
Back
Top Bottom