Huwa mnakumbuka nini enyi wanaume

Huwa mnakumbuka nini enyi wanaume

Hapana Daby ...

Chaaaa......mie huyo...!?

Aisee yule jamaa hapana. Baada ya kugonga mwamba huko aliko imebidi sasa lawama ambebeshe mama yake.

Kwa bahati nzuri mama yake alikuwa anamnusuru na kulogwa kumbe ndo kamloga kabisa
Nyie mama zetu huwa muda mwingine mnatupoteza na mnavyojua mkishatuambia "kama mimi sio mama yako basi muoe patience" tunafuata basi mnatuendesha.

Jamaa lazima awe ns stress. Hakuna Jambo linakera hasa kwetu kama Ex wako kufanikiwa maishani kukuzidi...ni aibu ukikutana naye unajificha.
 
hongera mpenz
But mama ake alianza kumtafutia sababu nyingi. Kuna wakati alimwambia kuwa ukoo wetu tuna midomo sana, mara nyingine akawa anamwambia kuwa mimi ni msomi nitamsumbua,mwisho kabisa wakamwambia kuwa asipomuoa aliyezaa naye atalogwa..

Chaaa...
 
Nyie mama zetu huwa muda mwingine mnatupoteza na mnavyojua mkishatuambia "kama mimi sio mama yako basi muoe patience" tunafuata basi mnatuendesha.

Jamaa lazima awe ns stress. Hakuna Jambo linakera hasa kwetu kama Ex wako kufanikiwa maishani kukuzidi...ni aibu ukikutana naye unajificha.
Hahahahahaaaaaa


Yani ni shida. Ila mimi nimejiwekea nia ya kutomuingilia mwanangu kwenye demokrasia ya mapenzi. Ikibidi nitamshauri,lakini sio kulazimisha na kuacha laana zisizo na kichwa wala miguu
 
Mwanaume alikuacha akasema atakupotezea muda tu ukipata mtu wa kuwa nae au kuolewa nae olewa tu,,hapo ashakuudhi ashakuumiza ,kweli unavumilia unapata mwingine sasa ,,mnakaa inapita miaka 5 au 6 unashangaa huyo mwanaume anaanza kukutafuta na kupiga piga simu kila muda,na sms haziishi hivi huwa mnasahau nini na mnakumbuka nini nyinyi viumbe muitwao wanaume,yaan mtu nishakusahau hata dudu yako siikumbuki kabisa unaanza kujirudisha rudisha na kusema nina mpango naupanga sijui nin nanii ooh mara huwa nakukumbuka sana,nakufikiria Mama sabrina yaishe hayo,Mimi sirudi nyuma naenda mbele huko huko sirudii matapishi kabisa,maana kurudia rudia vitu ya zamani ni kujichosha tu tena mtu alikupa maudhi bora hata kama mliachana kwa wema tu.
Hapa namkaushia tu nataka nimuulize hivi ulisahau nin kwa mama Sabrina au anaumwa huyu mtu ,itakuwa anaharisha kabisa,kaenda kupata kasichana kapuuzi puuzi huko kabayaa wameshindwana huko ujirudishe kwangu marufuku
Mlipoenda muwe mnatulia huko huko msijifanye kurudi ladha ike ya mwanzo ishaisha kabisa ,tunataka wapya tu wa kuanza nao upya
Mtalaka hatongozwi mama
 
Hahahahahaaaaaa


Yani ni shida. Ila mimi nimejiwekea nia ya kutomuingilia mwanangu kwenye demokrasia ya mapenzi. Ikibidi nitamshauri,lakini sio kulazimisha na kuacha laana zisizo na kichwa wala miguu
Itakuwa vizuri.
 
Nyie mama zetu huwa muda mwingine mnatupoteza na mnavyojua mkishatuambia "kama mimi sio mama yako basi muoe patience" tunafuata basi mnatuendesha.

Jamaa lazima awe ns stress. Hakuna Jambo linakera hasa kwetu kama Ex wako kufanikiwa maishani kukuzidi...ni aibu ukikutana naye unajificha.
makubwa mzazi unatakiwe uwe na mipak sio ufany unavyotak kisa tu umezaa hap tunakosea san tu ni wazazi weng san wan hii tabia
 
Mwanaume alikuacha akasema atakupotezea muda tu ukipata mtu wa kuwa nae au kuolewa nae olewa tu,,hapo ashakuudhi ashakuumiza ,kweli unavumilia unapata mwingine sasa ,,mnakaa inapita miaka 5 au 6 unashangaa huyo mwanaume anaanza kukutafuta na kupiga piga simu kila muda,na sms haziishi hivi huwa mnasahau nini na mnakumbuka nini nyinyi viumbe muitwao wanaume,yaan mtu nishakusahau hata dudu yako siikumbuki kabisa unaanza kujirudisha rudisha na kusema nina mpango naupanga sijui nin nanii ooh mara huwa nakukumbuka sana,nakufikiria Mama sabrina yaishe hayo,Mimi sirudi nyuma naenda mbele huko huko sirudii matapishi kabisa,maana kurudia rudia vitu ya zamani ni kujichosha tu tena mtu alikupa maudhi bora hata kama mliachana kwa wema tu.
Hapa namkaushia tu nataka nimuulize hivi ulisahau nin kwa mama Sabrina au anaumwa huyu mtu ,itakuwa anaharisha kabisa,kaenda kupata kasichana kapuuzi puuzi huko kabayaa wameshindwana huko ujirudishe kwangu marufuku
Mlipoenda muwe mnatulia huko huko msijifanye kurudi ladha ike ya mwanzo ishaisha kabisa ,tunataka wapya tu wa kuanza nao upya
Sawa,tumekuelewa
 
Back
Top Bottom