Lugano Edom
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 122
- 186
Oya wana Jamiiforums hivi hawa madogo kabla ya kwenda Chuo Kuenjoy na bata sijui Boom. Hivi huwa mnawakanya mambo muhimu ya kuzingatia huko vyuoni.... ✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawakanya sana ila ni knucle heads.Oya wana jamii forum hivi hawa madogo kabla ya kwenda Chuo Kuenjoy na bata sijui Boom. Hivi huwa mnawakanya mambo muhimu ya kuzingatia huko vyuoni.... ✍️
Haha 😂 kwanini ushtuke mkuuTunawakanya sana ila ni knucle heads.
NB:Umeanza na neno OYA ukanistua kidogo.
Dah hakuna mbinu mpya za kuwashauri kwaniTatizo wanapenda sana starehe na wengi huishia kupata magonjwa ya zinaa
Unaijua V8 wewe?Sasa turudi Rau Madukani:Unawajua OYA wewe?Kuwa makini na hao watu.Hawakawii kukupiga na gongo shingoni hadi uage dunia.The horribe OYA!Haha 😂 kwanini ushtuke mkuu
Mtu mzima achapwi fimbo, maisha yatamchapaAu
Au fimbo zitumike
Wakishaungua mikono kwa viherehere ndiyo watakumbuka waliyokuwa wakikanywa.Siamini kama kumkanya mtu kunatosha kumzuia asifanye makosa.
Makosa ni mazuri, ni sehemu ya maisha, fanyeni makosa.
Sio siri starehe vyuoni tunazipenda sana na kuacha ni ngumu.Tatizo wanapenda sana starehe na wengi huishia kupata magonjwa ya zina
Kuweni makini.Mkirudi nyumbani na miupuuzi yenu mkifurushwa msianze visingizio.Tengenezeni maisha yenu kwanza halafu baadaye mtakula mbuguswa,mitowo,kuku hadi bata bila kuchungwachungwa kama ngedere-mwitu.Sio siri starehe vyuoni tunazipenda sana na kuacha ni ngumu.
Hawataki kupewa ushauri kakaDah hakuna mbinu mpya za kuwashauri kwani
Oya wana Jamiiforums hivi hawa madogo kabla ya kwenda Chuo Kuenjoy na bata sijui Boom. Hivi huwa mnawakanya mambo muhimu ya kuzingatia huko vyuoni.... ✍️
Bila makanyo mbona karibia wote makaburi yetu yangekuwa yanawekewa marumaru majira haya!Acha madogo wahangaike kivyao bn, hamna anaetaka kuishi Kwa makanyo yako
Astaghifilullah!Kwa hiyo mnataka muishi kama mwanzo ya Adam na Eva?Hakuna vikongwe!🤔Wewe unamkanya nani umr wa miaka 17-29 ni umri wa kujifunza ni heri mtu asiruke stage Ili baadae tuondokane na wazee wa hovyo na wamama wanaopenda vijana