Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ukiwa mdogo unatandikwaBila makanyo mbona karibia wote makaburi yetu yangekuwa yanawekewa marumaru majira haya!
Ukifika umri flan unakanywa plus kunyimwa uhuru wa vitamu
Ukioa maushari kibao
Ukiwa na hela washauri kibao
Dini zimeleta sheria kibao
Serikali wameleta sheria kibao
Ebu acheni watu wajimwage