GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amewataka wananchi kutosikiliza maagizo ya waganga wa kienyeji yanayochochea ukatili na udhalilishaji, ikiwemo kubaka, kulawiti na kuua.
Makalla amesema hayo leo Jumatatu Septemba 9, 2024 Kiteto mkoani Manyara alipozungumza katika mkutano wa hadhara.
“Niwaombe viongozi wa dini, viongozi wa dini na mila tukemee matendo haya, kama zipo imani za kishirikina kuwa ukilawiti utapata mali huo ni uongo, waganga ni waongo..,”amesema.
Chanzo: mwananchi_official
Acheni tafadhali Kutulazimisha tuseme yenu ya ndani mliyonayo. Huwezi kuwa Kiongozi CCM na usiwe Mshirikina Oky?
Makalla amesema hayo leo Jumatatu Septemba 9, 2024 Kiteto mkoani Manyara alipozungumza katika mkutano wa hadhara.
“Niwaombe viongozi wa dini, viongozi wa dini na mila tukemee matendo haya, kama zipo imani za kishirikina kuwa ukilawiti utapata mali huo ni uongo, waganga ni waongo..,”amesema.
Chanzo: mwananchi_official
Acheni tafadhali Kutulazimisha tuseme yenu ya ndani mliyonayo. Huwezi kuwa Kiongozi CCM na usiwe Mshirikina Oky?