GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni Mzee ambaye pamoja na kuwa ni mwana Yanga SC na Mimi kuwa mwana Simba SC ila huwa ananichekesha mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Purely talented charismatic fellaNi Mzee ambaye pamoja na kuwa ni mwana Yanga SC na Mimi kuwa mwana Simba SC ila huwa ananichekesha mno.
Kutoka kwa Mumeo.Uzi tayari 😂😂
Ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mkuu na hakuna Mwingine.Purely talented charismatic fella
Sawa mkuuKutoka kwa Mumeo.
Huwa nakukubali sana, unatumia akili sana kwenye comment zako, sema nini unawapa tabu wajinga.Ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mkuu na hakuna Mwingine.
Mfano wa huyo hapo juu #6Huwa nakukubali sana, unatumia akili sana kwenye comment zako, sema nini unawapa tabu wajinga.
Na Mtu yoyote anayemkubali GENTAMYCINE si tu anakuwa nae ni Genius bali pia anakuwa Kabarikiwa sana na Mungu.Huwa nakukubali sana, unatumia akili sana kwenye comment zako, sema nini unawapa tabu wajinga.
Unapoteza muda wako Kutwa kutaka Kupambana nami hapa JamiiForums kwani hii ni Namba nyingine hasa kwa IQ.Sawa mkuu
Ukiwa cheki enz ya ujana wake yaweza kuta alikuwa mpole sana ila kufkisha 68 above alaf unapanga una maisha yakueleweka haloo lazma ujizme data ndyo maana mm vizeee vya miaka izo sbishani nao vinakuwa vimevurugwa na maishaNi Mzee ambaye pamoja na kuwa ni mwana Yanga SC na Mimi kuwa mwana Simba SC ila huwa ananichekesha mno.
Kuna Clip moja hivi nimeiona akiwa anawapa Watu makavu kwa Matusi ya uhakika huku pia akiwatishia Kuwabandua.Ukiwa cheki enz ya ujana wake yaweza kuta alikuwa mpole sana ila kufkisha 68 above alaf unapanga una maisha yakueleweka haloo lazma ujizme data ndyo maana mm vizeee vya miaka izo sbishani nao vinakuwa vimevurugwa na maisha
🤣🤣🤣 mkuu uyo n maisha inamwadhibu dah hatar sanaKuna Clip moja hivi nimeiona akiwa anawapa Watu makavu kwa Matusi ya uhakika huku pia akiwatishia Kuwabandua.
Nikiweka hapa atanifuata nilipo na Kunipiga au Kunitusi kwani Mdomoni mwake pia kuna Kinawanda tukuka cha Matusi.Picha ya huyo mzee
The king of all beasts.....in Idd Amin's voice🤗🤗🤗Ndiyo Mimi GENTAMYCINE Mkuu na hakuna Mwingine.