Huwa napenda sana bar counter zenye wahudumu wa kiume.

Mmh mimi huwa nawaona kama wamekaa kimbeambea hivi.... Katibu mrangi naomba maoni yako
 
Bwana mdogo siku ukija Mbeya unitafute. Kama nikiwepo ntakupeleka sehemu fulani hivi huwa tunakaa wanachama wa The Rotary Club tunabadilishana mawazo, nyama choma, vinywaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…