mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,571
- 3,448
Hasa hiyo Mayday kmmk huwa nachanganyikiwa kabisa.
Lakini pia kupitia hii thread nasikiliza hizo ngoma mbili za feregolla hiyo 100 kilo na kamasutra.. Nazo ni kali sana tu.
Sinaga ushindani kwenye music watoe mangoma tu mimi nitayasikiliza.
Ila usiwe huu usenge wanaotumbia wabongo wanauita amapiano aise.. Ni kelele tu na hazina maana yeyote!!!!