,Usifuatishe ule msemo usemae "Lisemwalo lipo"
Huu ni msemo tu...
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kesho ukuje, kuna fimbo zako...,
I know that
Naachaje kuja kwa mfano ?? kwani mi sitaki vitu vizuri vitamu??Kesho ukuje, kuna fimbo zako...
Nimecheka had machozi yananitoka hahahahaNa wa........ Pia!! Tihtihtih [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Cc Smart911
Mtu kafumaniwa ila kajitetea had ukaridhika
Haya mkuu,nahisi uko na mawazo ila sijakosea hata kidog
Nimeona baby wako akisema anakismat na wanawake warefu ,ukamuuliza hadi wewe ?akaanza kujitetea
Unashindia Puli au??Mi sipendi wanawake kabisa, hivyo sijui nini maana ya kismati kw upande wao
Haaaa na Smart911 wangu tunajuana wenyewe home huwa napenda kumtania sana my Smart911 ananikimbiza akinikamata ananichapa fimbo mwenyewe nafurahiiiiNimeona baby wako akisema anakismat na wanawake warefu ,ukamuuliza hadi wewe ?akaanza kujitetea
That all Mrs Smart
I will do anything for you mahondaw wangu... But i wont do that...Haaaa na Smart911 wangu tunajuana wenyewe home huwa napenda kumtania sana my Smart911 ananikimbiza akinikamata ananichapa fimbo mwenyewe nafurahiiii
Hata hivo nishasemaga hata nimfumanie laivu ndokwanzaaa namwambia nakupenda sana my smart nakupenda mnooooo
Online namzevezaga sana mbona akaa badae offline adhabu yangu naipata tunacheka kweli wenyewe na baby wake namie Smart911
Kama ikatokea umenikuta red handed doing other woman...Haaaa na Smart911 wangu tunajuana wenyewe home huwa napenda kumtania sana my Smart911 ananikimbiza akinikamata ananichapa fimbo mwenyewe nafurahiiii
Hata hivo nishasemaga hata nimfumanie laivu ndokwanzaaa namwambia nakupenda sana my smart nakupenda mnooooo
Online namzevezaga sana mbona akaa badae offline adhabu yangu naipata tunacheka kweli wenyewe na baby wake namie Smart911