Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

nina kismati na wale wa kimbaumbau kanenepa kawa tukunyema [emoji16][emoji16][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Na wa........ Pia!! Tihtihtih [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]


Cc Smart911
Nimecheka had machozi yananitoka hahahaha
Wanaume tunajijua sisi hahahaha
 
Nimeona baby wako akisema anakismat na wanawake warefu ,ukamuuliza hadi wewe ?akaanza kujitetea
That all Mrs Smart
Haaaa na Smart911 wangu tunajuana wenyewe home huwa napenda kumtania sana my Smart911 ananikimbiza akinikamata ananichapa fimbo mwenyewe nafurahiiii

Hata hivo nishasemaga hata nimfumanie laivu ndokwanzaaa namwambia nakupenda sana my smart nakupenda mnooooo

Online namzevezaga sana mbona akaa badae offline adhabu yangu naipata tunacheka kweli wenyewe na baby wake namie Smart911
 
Haaaa na Smart911 wangu tunajuana wenyewe home huwa napenda kumtania sana my Smart911 ananikimbiza akinikamata ananichapa fimbo mwenyewe nafurahiiii

Hata hivo nishasemaga hata nimfumanie laivu ndokwanzaaa namwambia nakupenda sana my smart nakupenda mnooooo

Online namzevezaga sana mbona akaa badae offline adhabu yangu naipata tunacheka kweli wenyewe na baby wake namie Smart911
I will do anything for you mahondaw wangu... But i wont do that...
 
Haaaa na Smart911 wangu tunajuana wenyewe home huwa napenda kumtania sana my Smart911 ananikimbiza akinikamata ananichapa fimbo mwenyewe nafurahiiii

Hata hivo nishasemaga hata nimfumanie laivu ndokwanzaaa namwambia nakupenda sana my smart nakupenda mnooooo

Online namzevezaga sana mbona akaa badae offline adhabu yangu naipata tunacheka kweli wenyewe na baby wake namie Smart911
Kama ikatokea umenikuta red handed doing other woman...

Join for a threesome...
 
Wa kila aina kasoro machangu doa sina kismati nao kabisa
 
Back
Top Bottom