huwa unaanzia wapi kupaka sabuni ukiingia kuoga!?

Mie huwa naanzia kunako KINASIO.

Tena hili swali limenifanya nicheke maana hata nilikuwa sizingatii kuwa huwa naanziaga wapi kupata sabuni lakini baada ya kuvuta kumbukumbu, nikakumbuka

Bibi wewe, hivi ulikuwa unawaza nini?
 
Mie huwa naanzia kunako KINASIO.

Tena hili swali limenifanya nicheke maana hata nilikuwa sizingatii kuwa huwa naanziaga wapi kupata sabuni lakini baada ya kuvuta kumbukumbu, nikakumbuka

Bibi wewe, hivi ulikuwa unawaza nini?
SI nilikuwa bafguni ndo hilo wazo likaniji!ahahahhahaah mi huwa naanzia panapokolea sabuni kwa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…