Huwa unachelewa kuamka wakati upi; ukiwa na pesa au ukiwa hauna pesa?

Huwa unachelewa kuamka wakati upi; ukiwa na pesa au ukiwa hauna pesa?

Ukiwa na pesa? Pesa zipi? Mshahara nayo ni pesa?

Mimi huwa nikiwa naingia kazini asbh ndo usingizi unajifanya kama una addiction..... Nikiwa off saa 10 usiku ushakata..
 
always huwa nawahi kuamka... ni kama culture yangu hivi.
 
Niwe na hela nisiwe nazo usingizi huwa unakata saa 9 alfajiri
 
Hela zangu hazijawahi kuongezeka, kila siku kinachoingia na kutoka ni sawa. Nalala sana wakati wote ase.
 
06:20 AM ni kila siku haibadiliki labda niwa na safari.
 
Sijawahi kupenda kuamka mapema. Hivyo ni mara chache naamka kabla ya saa 12 asubuhi
 
Duh watu mnapata wapi mda wa kulala?
Ahahahah. Pole sana mkuu. Kulala ni kwa mujibu wa afya ya mwili na akili, hakikisha unatafuta hata kwa kufosi, angalau upate masaa japo ma 4 ya kulala kila siku. Ni hatari kutolala.

Kulala too much napo si jambo zuri la kuliendekeza , hata kama huna shughul ya kufanya, jitahid uamke mapema. Lima lima nje ya nyuma, slesh nyasi na kuweka mipangilio sawa around your home. Kaz always hazikosekaninza kufanya
 
Ukiwa na pesa? Pesa zipi? Mshahara nayo ni pesa?

Mimi huwa nikiwa naingia kazini asbh ndo usingizi unajifanya kama una addiction..... Nikiwa off saa 10 usiku ushakata..
Pesa ni pesa ilhali ina chapa ya serikali kwa matumizi halali sokoni, hiyo ina qualify kuitwa pesa. Namaanisha hata 500 ukimiliki, bas unasifa ya kuitwa mwenye pesa. Japo itakuja tofaut tu kwamba , kuna mwenye pesa nyingi na mwenye pesa kidogo.
Hata wenye nying pia bado hugawanyika kama mwenye pesa ya kutosha na au isiyotosha.

Pesa ni pesa
 
Pesa ikipatikana inaleta munkari wa kutafuta zaidi
HAKUNA KULALA
 
Ahahah. Mkuu mbona hata kusipokucha pesa unaitumbua tu vizuri 😂

Kwenda Site ,kwenda shopping kununua accessories ,kwenda kununua mazagazaga ya ndani ,cruising etc kukiwa kumekucha ndiyo safi maana huku kwetu TZ usiku sehemu nyingi zimefungwa ukiacha night clubs/bar/lobby/redlightdistricts.
 
Back
Top Bottom