Huwa unajibu vipi swali " nikwambie kitu"

Huwa unajibu vipi swali " nikwambie kitu"

Hili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga

Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba

Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu

Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
Mimi sisemi nikuambie kitu 😅naenda moja kwa moja
 
Akishasema hivo we unaingizia shida zako kabla hujamruhusu akwambie. mwambie hapa nimekamatwa na polisi natakiwa kulipa faini milioni 2 nilinunua kiwanja kimakosa
 
Akishasema hivo we unaingizia shida zako kabla hujamruhusu akwambie. mwambie hapa nimekamatwa na polisi natakiwa kulipa faini milioni 2 nilinunua kiwanja kimakosa
Ukitaka kujua mwanamke hana msaada kwenye shida, atakujibu tu haya basi sawa!!
 
Akisema nikwambie kitu ... Mimi namwambia niambie

Akigusia tu swala la hela Ile text kama sijaifungua Nina hold afu mafuta chat yote!

Kuhonga ni kesi ya kuhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom