Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sisemi nikuambie kitu 😅naenda moja kwa mojaHili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga
Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba
Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu
Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
Acha ufala, chama kina mambo ya msingi ya kufanya.
Leo nimelewea fedha za uduvi tu mkuuAcha ufala, chama kina mambo ya msingi ya kufanya.
Sasa sisi tufanye nini?Leo nimelewea fedha za uduvi tu mkuu
Unyama basi man ni maisha tuSasa sisi tufanye nini?
Uko wapi 🤣
Hajambo kabisa , mkuu.Shukrani mkuu. Vipi shemeji hajambo
Mochwari 😀😀😀😀😀Subiri kidogo niko mochwari
Mkuu Mungu anasaidia sijui wewe brother
UongoSio kila anayesema nikuambie kitu atakachokisema ni kuhusu hela.
Sisi wengine tukisema hivo, kinachofuata ni kusema , “nimekumiss[emoji7]”
Ukitaka kujua mwanamke hana msaada kwenye shida, atakujibu tu haya basi sawa!!Akishasema hivo we unaingizia shida zako kabla hujamruhusu akwambie. mwambie hapa nimekamatwa na polisi natakiwa kulipa faini milioni 2 nilinunua kiwanja kimakosa