Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanipaje kesi ya kuhujumu uchumi? Kesi isiyo na dhamana!😀😅😃
Unakimbiza fursaUnanipaje kesi ya kuhujumu uchumi? Kesi isiyo na dhamana!
Siwezi kukubali hata kidogo... Nipo tayari kumpoteza mwanamke anayetaka nimuhonge ila sipo tayari kupoteza uhuru wangu na kwenda jela kwa kesi ya kuhujumu uchumi
Nimeamka fresh tu niaje
Nipo gheto sahiviUko wapi 🤣
Sema Dah nimejivunjia malengo mkuu since tarehe moja January siku wahi kugusa pombe mkuu ndo Jana nimegusaPombe
Pombe
Ukizidisha inakuwa noma 😂
Are you seriously? Au unataniaaaSema Dah nimejivunjia malengo mkuu since tarehe moja January siku wahi kugusa pombe mkuu ndo Jana nimegusa
Napenda kuombwa hela.Hili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga
Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba
Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu
Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
Be of the same challengeHili swali likija kutoka Kwa pisi ujue unaomba pesa au unapigiwa mzinga
Ukiwa una chart nae akakwambia ati akuulize kitu, huwa unajitoaje kwenye mdogo wa Simba
Ukikubali, na kusema nambie swali Huwa
1. Nimeishiwa luku nyumbani
2.mama ni mgonjwa
3. Nawaza ada ya mdogo wangu n.k
4.nina safari ya ghafla yani acha tu
Oya kwenye vikao vyenu huko kwenye matawi yetu mlikubaliana muwe mnajibu namna Gani?
Yes mkuu,Are you seriously? Au unataniaaa
Sijambo ndg yangu! Habari za mwengeMkuu Mungu anasaidia sijui wewe brother
Fresh arifu sjui hukoYes mkuu,
Duuh umekaza ... Umekuja kuazingua 😂Yes mkuu,
Mwege huu wa uhuru au 😂?Sijambo ndg yangu! Habari za mwenge
Pole sanaa,naamin utapambana kuijaza hiyo gesi.Sms inayofuata" Nina mawazo gesi imeisha"
😀😀😀😀Baaasi hapo umeshajijengea defensive mechanism ya kupigwa mizinga, akileta suala la hela unamkumbusha kuhusu hiyo milioni 2 inavyokuzingua kupataUkitaka kujua mwanamke hana msaada kwenye shida, atakujibu tu haya basi sawa!!