VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
Nasisitiza.Tafuta hela
Mwanamke huyo hana hisia na wewe.Wale wa tafuta hela wasiguse uzi wangu, tusijepandishana kisukari, NIMEMALIZA.
Na nyie nae mtupunguzie adhabu bas tukiongea mambo ya Hela unanichatisha mpaka nakosa mda wa kufanya mengine...nkikutumia tu ndo basNasisitiza.
Unampandisha kisukari dogo 🤣🤣🤣Tafuta hela
Ukituma pesa sasa ndio angalau hata text zinajibika. Kuchatishwa tu "umeamka, umekula, umevaa nini, sijui tuma picha nikuone..." aaagggrrr zinakata stim balaa . Tunawapenda sana nyie pamoja na pesa zenu.Na nyie nae mtupunguzie adhabu bas tukiongea mambo ya Hela unanichatisha mpaka nakosa mda wa kufanya mengine...nkikutumia tu ndo bas
Kibunda mwaisaWale wa tafuta hela wasiguse uzi wangu, tusijepandishana kisukari, NIMEMALIZA.
Tuachane na hayo....rudisha bn ile avatar mbona ilikua nzuri tu nkiona ule uweusi asalaleeeeeUkituma pesa sasa ndio angalau hata text zinajibika. Kuchatishwa tu "umeamka, umekula, umevaa nini, sijui tuma picha nikuone..." aaagggrrr zinakata stim balaa . Tunawapenda sana nyie pamoja na pesa zenu.
Nimejichibua mkuu🤣🤣🤣Tuachane na hayo....rudisha bn ile avatar mbona ilikua nzuri tu nkiona ule uweusi asalaleeeee
Rudisha bn ile binti mweusi baby face flan hv....sasa hii uloweka upo kama mshangazi rafiki yangu!Nimejichibua mkuu🤣🤣🤣
Sasa si ni mshangazi kweli🤣Rudisha bn ile binti mweusi baby face flan hv....sasa hii uloweka upo kama mshangazi rafiki yangu!
Bado Bado kidogo, hata namna unavojibu bado hujakaa kishangaziSasa si ni mshangazi kweli🤣