John Christian
New Member
- Mar 15, 2016
- 3
- 2
Uvumilivu umenishinda Wacha nikuambie broh cjuic cic TAFUTA PESA una Raha Gani ya kutafuta mahaba 24hrs a day ukimmis piga sm mmalizane cyo kudunya dunya vituf mda wot kama Karan wa mkoaWale wa tafuta hela wasiguse uzi wangu, tusijepandishana kisukari, NIMEMALIZA.
Kakukwepaje? Ulikua unataka nn mpaka ukukwepe?Ety totoo serious mkuu ...
π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί People are very matured kukwepa watu ππππ
Nilikua nataka kumuita shangaziKakukwepaje? Ulikua unataka nn mpaka ukukwepe?
acha nae, fanya utembee UDBS, utaπYuko busy kuliko mtu yoyote duniani Bora hata huyo huyu wa kwangu unapiga anapokea halafu anakwambia nitakusitua baadae swali fikirishi je ana fanywa nini ama kufanya nini ambapo wala hajakusikiliza ulicho taka kumwambia unasubiria hata wiki hakusitui
Shangazi ni baba.Nilikua nataka kumuita shangazi
Raia mtakuwa mko na shida ya macho.Kama hapa ww ndo unajitia mshangazi lakini sisi raia wa tabaka la kati tunakuona kabisa we bado mbichi
Eeeeeh haya..Shangazi ni baba.
Good morning totoo.
Ni nini mbaya totoo,,?Eeeeeh haya..
Sawa ... Sina neno ngoja ninyamaze tuu kwa kweli πππππ
Maana hakuna vipimo ni chuki chuki πππππ
ππππ Ulivo kamia hilo neno totoo..Ni nini mbaya totoo,,?
Aiseeeh!! πππππππ Ulivo kamia hilo neno totoo..
Hadi naogopa sasa ku replies πππ
Kuna watu mna mambo ya ajabu sana humu πππ
Shangazi... Ni baba πππAiseeeh!! πππ
Zingatia tarehe na tofauti ya masaa au dakika.Huwa unajisikiaje kuchati na mpenzi anayejibu meseji akijisikia au anachukua muda mrefu kujibu
Wale wa tafuta hela wasiguse uzi wangu, tusijepandishana kisukari, NIMEMALIZA.