Huwa unajisikiaje mwanamke anayekusumbua halafu kuna jamaa wanakula kirahisi?

Huwa unajisikiaje mwanamke anayekusumbua halafu kuna jamaa wanakula kirahisi?

My Honest Book

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
1,363
Reaction score
2,161
Share experience apa mwana MMU, imewahi kukukuta pale unakuta kuna mwanamke umemuelewa halafu unajaribu kumpa maelekezo hakuelewi, hamna jibu, hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu halafu mwamba ukijitathmini unajiona hiyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso?! Mbaya zaidi unasikia mtaani huyo demu ni wa uma-anagawa mechi siyo kidogo.

Huwa unachukua hatua gani katika situation hii?

NB: Huu uzi hauna picha
 
Kuna shangazi moja mtaani kwetu amefungasha hapo nyuma usipime afu kiuno nyigu.

Nilimletea mazoea akawa kama ana chomoa hivi hataki mazoea kabisa anasema ameolewa, mwamba nikamzimia data nikawa nampita bila salamu na wala hata simuangalii kabisa.

Siku moja akashoboka, “ww kaka mbona umekuwa hivo unapita bila salamu” nikamwambia ww si umeolewa bana hata mm sitaki usumbufu

Huwezi amini kitu alichoniambia mkuu, akanichana live “tatizo leo nyie vijana mnazunguka sana, mm najua unachotaka ila utanipa pesa”?

Nyege zote ziliruka nikaona ni malaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Share experience apa mwana MMU; imewahi kukukuta pale unakuta kuna chupi umeielewa afu unajaribu kuipa maelekezo haikuelewi hamna jibu,hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu afu mwamba ukijitathmini unajiona iyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso..na mbaya zaidi unasikia mtaani uyo demu ni wa uma anagawa mechi so kidogo

Huwa unachukua hatua gani ktk situation hii

NB:HUU UZI HAUNA PICHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hi ilishanikutaga mwamba, kuna mtoto mmoja wakuitwa "Baby" alikuwa analiwa hadi na vinyozi ila mie gundu nae ni 100%
 
Share experience apa mwana MMU; imewahi kukukuta pale unakuta kuna chupi umeielewa afu unajaribu kuipa maelekezo haikuelewi hamna jibu,hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu afu mwamba ukijitathmini unajiona iyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso..na mbaya zaidi unasikia mtaani uyo demu ni wa uma anagawa mechi so kidogo

Huwa unachukua hatua gani ktk situation hii

NB:HUU UZI HAUNA PICHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa UTI nayo ni kitu ya kunyimana tena!?😅😅😅
 
Achana naye mkuu, umesema demu anagawa uchi sana mtaani

Huyo kwa kifupi ni malaya. Sasa ndg yangu malaya anakuumiza kichwa kweli?

Na huyo ukisema uanze sana kumbembeleza atajifanya kama anakubali kinachofuata hapo ni vizinga na huenda hata usiipate hiyo papuchi yenyewe

ziko kibao mitaani tafuta mwingine/wengine
 
Unanikumbusha machungu ya Leah wa kule mfaranyaki songea. Nilimpenda mpaka mwisho wa kupenda lkn wapi... Hua inatokea hiyo just take it easy and move on!
Yaani Mimi nikionesha interest demu akanipa kisogo hata sitongozi maana ataniharibia CV yangu napita kule na maisha yangu maana nimeokoa hela zangu zisipotee😋
 
Kuna shangazi moja mtaani kwetu amefungasha hapo nyuma usipime afu kiuno nyigu.

Nilimletea mazoea akawa kama ana chomoa hivi hataki mazoea kabisa anasema ameolewa, mwamba nikamzimia data nikawa nampita bila salamu na wala hata simuangalii kabisa.

Siku moja akashoboka, “ww kaka mbona umekuwa hivo unapita bila salamu” nikamwambia ww si umeolewa bana hata mm sitaki usumbufu

Huwezi amini kitu alichoniambia mkuu, akanichana live “tatizo leo nyie vijana mnazunguka sana, mm najua unachotaka ila utanipa pesa”?

Nyege zote ziliruka nikaona ni malaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemwambia pesa unazo akibless nyapuu unapotea bila kumpa risiti mkuu[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Women are the sweet people on Earth when they are SEXUALLY attracted to you !!.

Ukiachana na Wanawake wanaojiuza... Mwanamke atakuvulia chupi endapo tu ,endapo tu Umemfanya avutiwe na wewe KINGONO .

NOTE,,, Kuna aina Fulani ya Maisha weee Mwanaume ukiyafikia, au Mwonekano Fulani hivi 'High Classic '........ Ukiwa navyo hivo , Hata Wanawake wenyewe wanajistukia, wanakua wanahisi unawatania yaan umeenda kuwapima, na wao wanajiona ni wa kiwango ya chini, wanaona wewe unafaa madem wakali zaidi ....sasa mwanamke wa hivi anaweza kukuzungusha sanaaa !!. .
 
Aaah! Hiyo huwa inatokea mkuu, japo Demu kam huyo kazi yake ndgo sna

Kwa sisi wakurungwa huwa tunaformation yetu na huwa haruki mtot kam hyo

Kwanza kbsa ukishamtokea mara ya kwanza akachomoa na nyodo kibao

Unachotakiwa kufnya ww unamtafuta shost yake wa karbu sana alafu unamkula
Au unatafuta pisi ya kwenda then unatimba nayo mtaani mara kwa mara akikuona na hyo pisi cku ukitupia tena ndoano akichomoa tena kaoge maji ya bahari .
 
Wahuni tuna code zetu we jamaa mademu wa hivyo shobo weka pembeni unatakiwa unampotezea km wiki hlf unakua unakumbushia kiana na ukimkuta na hao vitoto wenzie we kula G na usimaind wala nn utashangaa siku ya ck mtt una mlia kichochoroni tena for free
 
Back
Top Bottom