Kuna shangazi moja mtaani kwetu amefungasha hapo nyuma usipime afu kiuno nyigu.
Nilimletea mazoea akawa kama ana chomoa hivi hataki mazoea kabisa anasema ameolewa, mwamba nikamzimia data nikawa nampita bila salamu na wala hata simuangalii kabisa.
Siku moja akashoboka, “ww kaka mbona umekuwa hivo unapita bila salamu” nikamwambia ww si umeolewa bana hata mm sitaki usumbufu
Huwezi amini kitu alichoniambia mkuu, akanichana live “tatizo leo nyie vijana mnazunguka sana, mm najua unachotaka ila utanipa pesa”?
Nyege zote ziliruka nikaona ni malaya tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app