Huwa unajisikiaje mwanamke anayekusumbua halafu kuna jamaa wanakula kirahisi?

Huwa unajisikiaje mwanamke anayekusumbua halafu kuna jamaa wanakula kirahisi?

Kuna shangazi moja mtaani kwetu amefungasha hapo nyuma usipime afu kiuno nyigu.

Nilimletea mazoea akawa kama ana chomoa hivi hataki mazoea kabisa anasema ameolewa, mwamba nikamzimia data nikawa nampita bila salamu na wala hata simuangalii kabisa.

Siku moja akashoboka, “ww kaka mbona umekuwa hivo unapita bila salamu” nikamwambia ww si umeolewa bana hata mm sitaki usumbufu

Huwezi amini kitu alichoniambia mkuu, akanichana live “tatizo leo nyie vijana mnazunguka sana, mm najua unachotaka ila utanipa pesa”?

Nyege zote ziliruka nikaona ni malaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja nilimtongoza nikawa nae kwenye mahusiano kwa muda wa siku nne. Siku ya tano akanambia "tusipotezeane muda bhana, we kesho njoo na hela tukalale" Nyege zote zikamwagika nikakimbia

Sasa hivi nimekuwa na ukame, nataraji kurudisha mashambulizi
 
Share experience apa mwana MMU; imewahi kukukuta pale unakuta kuna chupi umeielewa afu unajaribu kuipa maelekezo haikuelewi hamna jibu,hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu afu mwamba ukijitathmini unajiona iyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso..na mbaya zaidi unasikia mtaani uyo demu ni wa uma anagawa mechi so kidogo

Huwa unachukua hatua gani ktk situation hii

NB:HUU UZI HAUNA PICHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Mzee wangu mzabzab hua anawaita Mashetani

Sasa we mtu kashawahi kupiga story na shetani we utamwambia nini, si anafanya anachojisikia akipata mbuyu unaomfaa yeye anaenda kupoa hapo au ule msemo wa kila shetani na mbuyu wake unadhani amelengwa nani?
 
Kuna mmoja nilimtongoza nikawa nae kwenye mahusiano kwa muda wa siku nne. Siku ya tano akanambia "tusipotezeane muda bhana, we kesho njoo na hela tukalale" Nyege zote zikamwagika nikakimbia

Sasa hivi nimekuwa na ukame, nataraji kurudisha mashambulizi
Escort kwenye ubora wake, huyo ni muuza matunda tena itakua anauza matunda pendwa yote yale ya mti wa uzima pamoja na yale ya mti wa kujua mema na mabaya yote atakua anayapiga bei bila huruma

Kua makini
 
Share experience apa mwana MMU; imewahi kukukuta pale unakuta kuna chupi umeielewa afu unajaribu kuipa maelekezo haikuelewi hamna jibu,hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu afu mwamba ukijitathmini unajiona iyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso..na mbaya zaidi unasikia mtaani uyo demu ni wa uma anagawa mechi so kidogo

Huwa unachukua hatua gani ktk situation hii

NB:HUU UZI HAUNA PICHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ni kama askari, hana shida na watu waliotulia.
 
Kuna shangazi moja mtaani kwetu amefungasha hapo nyuma usipime afu kiuno nyigu.

Nilimletea mazoea akawa kama ana chomoa hivi hataki mazoea kabisa anasema ameolewa, mwamba nikamzimia data nikawa nampita bila salamu na wala hata simuangalii kabisa.

Siku moja akashoboka, “ww kaka mbona umekuwa hivo unapita bila salamu” nikamwambia ww si umeolewa bana hata mm sitaki usumbufu

Huwezi amini kitu alichoniambia mkuu, akanichana live “tatizo leo nyie vijana mnazunguka sana, mm najua unachotaka ila utanipa pesa”?

Nyege zote ziliruka nikaona ni malaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo pigo zao... Anasema kaolewa ili aliwe kisela tu, usimgande.
 
Siku hizi ni kupeana UTI tu... Na nyingine ukute ni siyo utelezi tena, ukavu kama ardhi ya Khartoum
Aiseeeee mkishapewa ndio mnaanza kusema hivo😆😆😆wakati kwenye hiyo ardhi ya Khartoum ulimwaga hadi ubongo😆😆
 
Ilinitokeaga wakati naanza mapenzi ni vile mwanamke akijua unamuhitaji sana kuonesha unamtaka hasa iyo lazima itokee..kingine akiona hana chochote anaweza pata kwako inachangia pia
 
Back
Top Bottom