Women are the sweet people on Earth when they are SEXUALLY attracted to you !!.
Ukiachana na Wanawake wanaojiuza... Mwanamke atakuvulia chupi endapo tu ,endapo tu Umemfanya avutiwe na wewe KINGONO .
NOTE,,, Kuna aina Fulani ya Maisha weee Mwanaume ukiyafikia, au Mwonekano Fulani hivi 'High Classic '........ Ukiwa navyo hivo , Hata Wanawake wenyewe wanajistukia, wanakua wanahisi unawatania yaan umeenda kuwapima, na wao wanajiona ni wa kiwango ya chini, wanaona wewe unafaa madem wakali zaidi ....sasa mwanamke wa hivi anaweza kukuzungusha sanaaa !!. .