Huwa unajisikiaje mwanamke anayekusumbua halafu kuna jamaa wanakula kirahisi?

Huwa unajisikiaje mwanamke anayekusumbua halafu kuna jamaa wanakula kirahisi?

Aiseeeee mkishapewa ndio mnaanza kusema hivo😆😆😆wakati kwenye hiyo ardhi ya Khartoum ulimwaga hadi ubongo😆😆
Aaah wapi... Kuna nyingine hakuna hata kumwaga ubongo... Ni vile tu ndo msosi ushatengwa bas inabidi tu uliwe...🙃🙃
 
Share experience apa mwana MMU, imewahi kukukuta pale unakuta kuna chupi umeielewa halafu unajaribu kuipa maelekezo haikuelewi, hamna jibu, hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu halafu mwamba ukijitathmini unajiona hiyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso?! Mbaya zaidi unasikia mtaani huyo demu ni wa uma-anagawa mechi siyo kidogo.

Huwa unachukua hatua gani katika situation hii?

NB: Huu uzi hauna picha

Sent using Jamii Forums mobile app
Unashukuru mungu, kwan inawezekana mungu amekuepusha na magonjwa
 
Aaah wapi... Kuna nyingine hakuna hata kumwaga ubongo... Ni vile tu ndo msosi ushatengwa bas inabidi tu uliwe...🙃🙃
Ila vijana wa mama Samia mna mengi nyieeee khaaaaa… haya bana we kula zako chakula
 
Ukiona hivyo ujue hajakupenda.

Anagawa uchi kwa anaowapenda tu.

Sura huna, pesa huna. Kila kitu huna, mfupi una kitambiii afu unataka kutafuna papuchi? WE ULISKIA WAPI?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mrengwa wa kulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa
Women are the sweet people on Earth when they are SEXUALLY attracted to you !!.

Ukiachana na Wanawake wanaojiuza... Mwanamke atakuvulia chupi endapo tu ,endapo tu Umemfanya avutiwe na wewe KINGONO .

NOTE,,, Kuna aina Fulani ya Maisha weee Mwanaume ukiyafikia, au Mwonekano Fulani hivi 'High Classic '........ Ukiwa navyo hivo , Hata Wanawake wenyewe wanajistukia, wanakua wanahisi unawatania yaan umeenda kuwapima, na wao wanajiona ni wa kiwango ya chini, wanaona wewe unafaa madem wakali zaidi ....sasa mwanamke wa hivi anaweza kukuzungusha sanaaa !!. .
Aya ya mwisho ina ukweli aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ndiyo maana wengi hushangaa kwa nini ni ma hb na wana sifa za kiume ila mademu wanawakataa. Kumbeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



cc:
Mahondaw
 
Women are the sweet people on Earth when they are SEXUALLY attracted to you !!.

Ukiachana na Wanawake wanaojiuza... Mwanamke atakuvulia chupi endapo tu ,endapo tu Umemfanya avutiwe na wewe KINGONO .

NOTE,,, Kuna aina Fulani ya Maisha weee Mwanaume ukiyafikia, au Mwonekano Fulani hivi 'High Classic '........ Ukiwa navyo hivo , Hata Wanawake wenyewe wanajistukia, wanakua wanahisi unawatania yaan umeenda kuwapima, na wao wanajiona ni wa kiwango ya chini, wanaona wewe unafaa madem wakali zaidi ....sasa mwanamke wa hivi anaweza kukuzungusha sanaaa !!. .
Absolutely chief...... kuna demu mmoja nishawahi kumuhitaj ila akawa kama haamini vile. View attachment 2348497
Screenshot_20220907-093622_WhatsApp.jpg
 
Mkuu hata malaya anaye machaguo yake pia huenda anakuonea huruma asije kukuangamiza. "Kwahiyo acha kuwa king'ang'anizi".
 
Kwani ni mara ya kwanza kunyimwa k? Kagoma kuvua chupi tambaa mademu kibao wa kumwaga,tena unasema mtu mwenyewe anagawa papa kama taarifa ya habari hujui kakuepushia UTI huyo.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi ya darasa la saba B hayo, zama hizi hakuna kutongoza.

Kuna umri wanakuja tu wala huna haja ya kutongoza, ni kiasi cha kuanza kuwakimbia na kuwakwepa.
 
Ni sawa sawa umeoa mke hujawahi kumla tope ila wahuni nje wanampakua tope na kucheza nalo km kawaida hapo ndio utajua hujui

Vumilia tu mkuu wameumbwa kwa ajili yetu akikuona namna gan jua yupo anaemuona kwake poa na anampakua vizuri tu
 
Share experience apa mwana MMU, imewahi kukukuta pale unakuta kuna mwanamke umemuelewa halafu unajaribu kumpa maelekezo hakuelewi, hamna jibu, hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu halafu mwamba ukijitathmini unajiona hiyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak unashangaa inakupaje mateso?! Mbaya zaidi unasikia mtaani huyo demu ni wa uma-anagawa mechi siyo kidogo.

Huwa unachukua hatua gani katika situation hii?

NB: Huu uzi hauna picha
Nyuzi za mbunyeee na ulimbwende, utelezi nk picha ni LAZIMA narudia tena PICHA ni LAZIMA
 
Back
Top Bottom