Huwa unajisikiaje unapokuwa umetoka na mpenzi wako halafu mkakutana na ex wake uso kwa uso?

Huwa unajisikiaje unapokuwa umetoka na mpenzi wako halafu mkakutana na ex wake uso kwa uso?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
TAFITI zinaonesha yafuatayo:

Wanaume kuna kibaridi fulani hivi kinakupata nakuanza kujiuliza maswali kibao.

Jamaa alimkula demu wangu mpk akatupa kule?

Mastaili anayonipa mpenzi wangu usikute jamaa ndiyo alimfundisha. Eeh?

Kwahiyo mm natafuna makombo ya jamaa?.

Jamaa huyu ananionaje mimi?

Wanamke huwa wanaishiwa "Confo" (confidence). Huanza kujilinganisha uzuri wao kwa ex wa mume. Ukisikia anakuuliza swali hivi mume/mpenzi wangu ulipenda nn kwa ex wako? Wanaume jamani.!! Ujue kuna kitu kazidiwa na ex.. Yaweza kuwa rangi, shepu, kimo, sura, ama akili. Hivyo anauliza Hilo swali kupooza machungu.

Na saikolojia ya wanawake hubadilika na hujikuta wakimsonya ex bila kutarajia.

Vipi kwa upande wako huwa unajisikiaje?
 
Kama mpenzi wako ndio aliachwa na ex wake lazima uone aibu like “yaani kaachwa mimi nikabeba” lakini kama mpenzi wako ndio alimuacha ex wake na akamuacha kwa sababu alikupata wewe huo ni ufahari like “nimekunyanganya manzi ako tafuta hela wewe”. Au unasemaje Extrovert ?
 
Hao wataalamu sio wataalam. Mimi hata nimjue ex wake sina muda wa kuwaza kuhusu yeye naplay part yangu
Mwanaume aliyefanikiwa ktk mahusiano ni yule anayekula kitu unique ambacho wanaume wengine wanakitupia macho huku wakitamani wakipate lini kinachofanana na hicho.

Ukiona huoni fahari ktk mahusiano yako ujue "umefeli ktk tasnia ya mahusiano".

Losers wote ktk mahusiano hawana wivu, na hawaoani fahari wakiwa na wenzi wao
 
Mwanaume aliyefanikiwa ktk mahusiano ni yule anayekula kitu unique ambacho wanaume wengine wanakitupia macho huku wakitamani wakipate lini kinachofanana na hicho.

Ukiona huoni fahari ktk mahusiano yako ujue "umefeli ktk tasnia ya mahusiano".

Losers wote ktk mahusiano hawana wivu, na hawaoani fahari wakiwa na wenzi wao
Wenzi wenyewe ndio hawa waliokwisha someshwa kilomita za kutosha? Huyo bikra wa kuanza nae 1 anapatikana wapi kwa hiki kizazi cha 20+yrs?
Unasema vitu ambavyo havipo watu wengi wana watu ambao walishatumika kabla(wana maeX) na wanainjoy. Furahi na ulienae ukianza kuwaza ya ex utajitesa bure.
 
Kama mpenzi wako ndio aliachwa na ex wake lazima uone aibu like “yaani kaachwa mimi nikabeba” lakini kama mpenzi wako ndio alimuacha ex wake na akamuacha kwa sababu alikupata wewe huo ni ufahari like “nimekunyanganya manzi ako tafuta hela wewe”. Au unasemaje Extrovert ?
Unyama sana yani, come bebe... Come bebe... Njoo upate mambo matam toka kwangu.
Mapenzi kitu amazing sana.
 
Mimi nlikutana nae.
Tena nkampa na lifti kabisa kwenye gari.
I dnt remember feeling any type of way.
In short ni insecurities tu za watu ndo znaleta haya maproblem, lakini if you are confident in ypur own skin, wala hakuna cha kukubabaisha.
 
Mwanamke ukiwa nae halafu x wake akaja na pengine huyo x wake mnafahamiana confidence yote Kwa mwanamke inapotea na naweza kukwambia muondoke eneo la tukio kama mlikuwa mmepuzika sehemu
 
Back
Top Bottom