Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe kama babe 🤣🤣🤣Hivi mbona chart yako inazidi kupanda kila siku? Kumbe nikiona cha nini kuna mbwa wanatoa udenda😭
Mwambie tumeanza kuelewana so tunafanya heshima kama mtangulizi tu.Usimtishe mchumba angu bwana🤣🤣🤣
Sijakupa kibali mkuu.Mwambie tumeanza kuelewana so tunafanya heshima kama mtangulizi tu.
Mi nadhani ni suala la yeye kutoa kibali tu.
🤣🤣 Basi tumsubiri atoe kibaliMwambie tumeanza kuelewana so tunafanya heshima kama mtangulizi tu.
Mi nadhani ni suala la yeye kutoa kibali tu.
Hahaha aiseee kumbe hawa viumbe ukiwatwanga kichwa cha maana wanakuwa hawana tena nguvu ya kusema "nipige kama wee mwanaume" 🤣🤣🤣🤣Hii tabia yakushikiana simu sio poa mchumba angu wakati huo wa nyuma kidogo alikuwa na tabia hiyo kiukweli hamna rangi aliacha kuona!!!! Kuna siku kaja om mimi nikaenda kuoga akachukua simu yangu nakujipigia akakuta nime msave no one........ sasa natoka kuoga nimekaa kwenye kochi nilipigwa kibao cha maana cha shavu na ugomvi ukaanza maana na mimi bila kuhoji nikampiga kichwa cha pua makofi ya mshavu mara naona damu, kaanguka nikatulia kwanza akamka huku damu zinatoka namuuliza kwanini ulinipiga eti umeni save no one tangu iyo siku hakuwahi rudia kugusa simu yangu na mpaka leo ndo mke......siku hizi nikitoka tu jioni ananimbia ndo unaenda kwa michepuko yako😂😂😂😂 wakati anajua jioni ni muda wa mazoezi tabia yakushika simu sio kabisa unaweza kuuwa au kuuliwa
Hii kauli wanaongea wakijua huwezi kumpiga ila ukimzabua kofi la maana kimya hatoongea chochoteHahaha aiseee kumbe hawa viumbe ukiwatwanga kichwa cha maana wanakuwa hawana tena nguvu ya kusema "nipige kama wee mwanaume" 🤣🤣🤣🤣
dawa yao ni kuwazabua kofi moja mpaka damu itoke alafu kidume unakaa kimya.Hii kauli wanaongea wakijua huwezi kumpiga ila ukimzabua kofi la maana kimya hatoongea chochote
Ni wivu tu japo muda mwengine kweli ndo naenda huko huko ila naichukulia kiutani utani!!dawa yao ni kuwazabua kofi moja mpaka damu itoke alafu kidume unakaa kimya.
na hii tabia ya kusema unaenda kwa micheps yako aiseee mie siwezi vumilia.....