Huwa unakagua Simu ya Mpenzi wako? Nini kinakusukuma kufanya hivyo?

Huwa unakagua Simu ya Mpenzi wako? Nini kinakusukuma kufanya hivyo?

Huyu moenzi wangu nilimuomba threesome hataki basi mie nakagua simu ili nipate ushahidi anacheat alafu nimwambie bby sii umualike jamaa huyo tugogenge threesome maana unatuoenda wote wawili
 
Hii tabia yakushikiana simu sio poa mchumba angu wakati huo wa nyuma kidogo alikuwa na tabia hiyo kiukweli hamna rangi aliacha kuona!!!! Kuna siku kaja om mimi nikaenda kuoga akachukua simu yangu nakujipigia akakuta nime msave no one........ sasa natoka kuoga nimekaa kwenye kochi nilipigwa kibao cha maana cha shavu na ugomvi ukaanza maana na mimi bila kuhoji nikampiga kichwa cha pua makofi ya mshavu mara naona damu, kaanguka nikatulia kwanza akamka huku damu zinatoka namuuliza kwanini ulinipiga eti umeni save no one tangu iyo siku hakuwahi rudia kugusa simu yangu na mpaka leo ndo mke......siku hizi nikitoka tu jioni ananimbia ndo unaenda kwa michepuko yako😂😂😂😂 wakati anajua jioni ni muda wa mazoezi tabia yakushika simu sio kabisa unaweza kuuwa au kuuliwa
 
Hapana. Mambo ya kutafutiza maugomvi kwa makusudi sitaki.
 
Siku 1 nilishika simu ya kijana mmoja nikagundua anaingiliana na rafiki yake 🫢
Nililia kwa sauti kuu huku nimeweka kiganja kufunika mdomo watu wasisikie.
 
Hii tabia yakushikiana simu sio poa mchumba angu wakati huo wa nyuma kidogo alikuwa na tabia hiyo kiukweli hamna rangi aliacha kuona!!!! Kuna siku kaja om mimi nikaenda kuoga akachukua simu yangu nakujipigia akakuta nime msave no one........ sasa natoka kuoga nimekaa kwenye kochi nilipigwa kibao cha maana cha shavu na ugomvi ukaanza maana na mimi bila kuhoji nikampiga kichwa cha pua makofi ya mshavu mara naona damu, kaanguka nikatulia kwanza akamka huku damu zinatoka namuuliza kwanini ulinipiga eti umeni save no one tangu iyo siku hakuwahi rudia kugusa simu yangu na mpaka leo ndo mke......siku hizi nikitoka tu jioni ananimbia ndo unaenda kwa michepuko yako😂😂😂😂 wakati anajua jioni ni muda wa mazoezi tabia yakushika simu sio kabisa unaweza kuuwa au kuuliwa
Hahaha aiseee kumbe hawa viumbe ukiwatwanga kichwa cha maana wanakuwa hawana tena nguvu ya kusema "nipige kama wee mwanaume" 🤣🤣🤣🤣
 
Hahaha aiseee kumbe hawa viumbe ukiwatwanga kichwa cha maana wanakuwa hawana tena nguvu ya kusema "nipige kama wee mwanaume" 🤣🤣🤣🤣
Hii kauli wanaongea wakijua huwezi kumpiga ila ukimzabua kofi la maana kimya hatoongea chochote
 
Hii kauli wanaongea wakijua huwezi kumpiga ila ukimzabua kofi la maana kimya hatoongea chochote
dawa yao ni kuwazabua kofi moja mpaka damu itoke alafu kidume unakaa kimya.
na hii tabia ya kusema unaenda kwa micheps yako aiseee mie siwezi vumilia.....
 
dawa yao ni kuwazabua kofi moja mpaka damu itoke alafu kidume unakaa kimya.
na hii tabia ya kusema unaenda kwa micheps yako aiseee mie siwezi vumilia.....
Ni wivu tu japo muda mwengine kweli ndo naenda huko huko ila naichukulia kiutani utani!!
 
Back
Top Bottom