Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu simama na kiumbe huyu!100%
Kinga ni bora!Katika ujinga ambao sipendagi kuusikia ni huo.,,huwa namuona Mwenye nyumba ni kama tapeli hivi.
Kama unanitarajia kuja kwako basi cha muhimu fungia Mbwa wako kwenye Banda lao.
Bahati mbaya wanang'ataga sehem nyeti na nyuma ya miguu!Kuna nyumba moja niliwashangaa sana,niliingia nimefika uwani mbwa akakurupuka huko akanifata huku anabweka,nikaamua kutumia ujanja wangu,nikainama chini kama naokota jiwe mbwa anashituka kidogo ila tena asogea,wao wananiangalia tu,mbwa nae alikuwa jasiri sana nikimtishia kama namponda anatulia kidogo afu anasogea,eti baadae ndo wanakuja kumshika wakati huo nimeshachoka balaa nawaza sjui akinifikia kabisa itakuwaje
Mzee kingunge alibadilishiwa mbwa mkuu ule ulikuwa mkakati wa kukiondosha kile kibabu.Hawaaminiki mbwa! Mzee Kingunge aling'atwa na mbwa wake kabisa.
Ila wewe akishoboka si unamtwanga round kick moja takatifu tu unamsambaza, naskiaga mnafundishwa wushu na taekwondo tokea wadogo nyieHawaaminiki mbwa! Mzee Kingunge aling'atwa na mbwa wake kabisa.
Mzee kingunge alibadilishiwa mbwa mkuu ule ulikuwa mkakati wa kukiondosha kile kibabu.
Sometimes unaweza kufikiri labda jamaa mwenye mbwa kanileta makusudi ili nije kuwa kitoweo cha mbwa wake.Asilimia 10 na kwenda chini.
Khaaa mbwa ana akili zake.. binadamu atajuaje hawezi kunitenda na mtu unajuwa nilikali haswaa... 😅😅😅