Huwa unamuamini asilimia ngapi mwenyeji wako anapokwambia usiogope, Mbwa wake hang'ati?

Huwa unamuamini asilimia ngapi mwenyeji wako anapokwambia usiogope, Mbwa wake hang'ati?

Majuzi kati Home wameibwa German Sherphard 1 matata kali sana

Na li pitbull Jike 1 kali mara 20 ya Lile sherphard..

Mwizi wa Wale Mmbwa hadi na kesho kutwa haijaeleweka aliwachukua kwa style gani. ila ndio hivyo

Mbwa wanao ogopwa na walikua hawana Utani, Wameibwa wote wawili.

Tanzania nimeamimi sio Nchi ni kisiwa flani hivi chenye watu wenye sifa za pekee mno.
 
Hawa mmbwa tunaowafuga majumbani Nadhani wanao waiba ni hawa hawa wanao wa train.

siwezi tafuta Trainer anae train Mbwa kwa kingereza staki kusikia shenzi hawa, Mbwa wa bongo yyte (hawa special) ukimwambia Sit Down linakaa chini kweli.

Trainer almost all wanatumia Common language kufundishia wanyama.

Siamini inakuaje mwizi anaiba Mbwa wakali kiasi kile,kama ni uchawi basi BONGO kuna wachawi waliopitiliza.
 
Hawa mmbwa tunaowafuga majumbani Nadhani wanao waiba ni hawa hawa wanao wa train.

siwezi tafuta Trainer anae train Mbwa kwa kingereza staki kusikia shenzi hawa, Mbwa wa bongo yyte (hawa special) ukimwambia Sit Down linakaa chini kweli.

Trainer almost all wanatumia Common language kufundishia wanyama.

Siamini inakuaje mwizi anaiba Mbwa wakali kiasi kile,kama ni uchawi basi BONGO kuna wachawi waliopitiliza.
Ongea na mwalimu wake vizuri kalamba mbingo huyo
 
Hawa mmbwa tunaowafuga majumbani Nadhani wanao waiba ni hawa hawa wanao wa train.

siwezi tafuta Trainer anae train Mbwa kwa kingereza staki kusikia shenzi hawa, Mbwa wa bongo yyte (hawa special) ukimwambia Sit Down linakaa chini kweli.

Trainer almost all wanatumia Common language kufundishia wanyama.

Siamini inakuaje mwizi anaiba Mbwa wakali kiasi kile,kama ni uchawi basi BONGO kuna wachawi waliopitiliza.
Wala si kazi kuiba mbwa,

Itakuwa mwizi alikuwa anakuja kucheza/kuwaweka karibu[emoji23]

Wengine tuna ki smati[emoji16],tukija kwako kama si paka ni mbwa lazima anigande[emoji23], home hatufugi paka lkn kuna paka wa jirani kahamia nyumbani,ilikuwa kila nikienda kwao ananiganda nikirudi ananifuata,imekuwa mazima hiyo, Mbwa nao wahamiaji
 
Nilikua na rafiki yangu tunatembea, ghafla kuna mwanamke mmoja akapiga ukelele, tukashtuka kuna nini? "nyokaa" "nyokaa", tukasogea pale, jamaa wakaanza kumpiga yule nyoka mawe, nyoka akaingia kwenye kimti kwa chini amejificha, basi akatokea jamaa mmoja hivi mlevi na mwenzie anasema "msimpige macheni, nyoka mimi haniumi, nyoka wananijua muacheni nimkamate", basi tukaona ngoja leo tuone miujiza.

Ila tukamtahadharisha yule mlevi asifanye mchezo ile ni hatari.

Jamaa akasogea pale nyoka ameacha mkia, jamaa akamkamata mkiani kamnyanyua hakuwa mkubwa sana, yule nyoka akawa kichwa kipo chini jamaa kashika mkiani, yule nyoka akageuza kichwa kuelekea kwenye mkono wa jamaa, jamaa si akaona anang'atwa, hajamrushia huku tulipokua, acha watu wasambae , asee yule jamaa tulimfukuzaje?

Kama mwizi, jamaa pombe iliisha alikuwa anakanyaga kibati hatukumkamata yule nyoka sijui alipotelea wapi...
Hio kauli yako imenikumbusha hio moment, hizo kauli siziamini kabisa...[emoji23][emoji1787]
Au alikuwa anamaanisha nyoka wa mgodini! Hahaaaa
 
Wala si kazi kuiba mbwa,

Itakuwa mwizi alikuwa anakuja kucheza/kuwaweka karibu[emoji23]

Wengine tuna ki smati[emoji16],tukija kwako kama si paka ni mbwa lazima anigande[emoji23], home hatufugi paka lkn kuna paka wa jirani kahamia nyumbani,ilikuwa kila nikienda kwao ananiganda nikirudi ananifuata,imekuwa mazima hiyo, Mbwa nao wahamiaji
Hahah
 
Back
Top Bottom