bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 767
- 1,083
Safi, mzima?habari
Mzima, Shem hajambo?Safi, mzima?
Mi sijambo ney kush vp baba nanii mzima?Mzima, Shem hajambo?
Muzuri kabisa.habari
Kwema kabisa kijana wangu. Nitumie kale ka hela ka kula.me siku hizi stoi shikamo... ni mwendo wa mzee kwema?
Uko sawa mkuu hata Mimi nasema hivyo tu imeisha hiyoMe siku hizi stoi shikamo. Ni mwendo wa mzee kwema?
Wapo wanaume hawaeleweki pia we huoni Polepole mwenyewe anachanganya watu.Wanawake ndo huwa nawapotezea Sana maana mwanamke mwenye miaka 25 utasema ana 30+ na mwenye 30 utasema ana 40+ , hivyo huwa nawakwepa nisije kusalimia kitoto cha 2005 nikaonekana koro.
ila wanaume huwa wanajulikana tu huyu kijana mwenzangu huyu mzee (Nampa heshima yake)
Kwa kijana ambae yuko miaka kwanzia 25 kurud chin anatakiwa amsalimie polepoleWapo wanaume hawaeleweki pia we huoni Polepole mwenyewe anachanganya watu.
Kabisa mkuu kukadiria umri wa wanawake huwa inaleta utata kwa baadhi yao. Akishapata kazi na masiha fulani huwa wanabadilika sana miaka 25 kama 35 vile.Wanawake ndo huwa nawapotezea Sana maana mwanamke mwenye miaka 25 utasema ana 30+ na mwenye 30 utasema ana 40+ , hivyo huwa nawakwepa nisije kusalimia kitoto cha 2005 nikaonekana koro.
ila wanaume huwa wanajulikana tu huyu kijana mwenzangu huyu mzee (Nampa heshima yake)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wanaume hawaeleweki pia we huoni Polepole mwenyewe anachanganya watu.