Huwa unapotezeaje kumpa shikamoo mtu usiye kuwa na uhakika anastahili shikamoo?

Huwa unapotezeaje kumpa shikamoo mtu usiye kuwa na uhakika anastahili shikamoo?

JK & Mzee Ruksa wangekataa zile hongo za shangingi na kasri walizopewa kwa hisani ya Bi Mkubwa, kweli hiyo shikamoo nisingeipokea. Lakini kwa mwendo huu, upepo ni kwamba ukipewa chukua, if possible, kwa mikono yote miwili na miguu pia. Tanzania bila ushamba inawezekana.
Acha ushamba.
 
Wachagga hawapendi uwape shikamoo ila wanapenda kuzitoa shikamoo kama maandazi yaliyokosa soko.

Mi nikikushindwa kujua salami ya kukupa naku 🙋‍♀️
 
Poleni na kazi wakuu,

Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi Cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au laa.

Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata Kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je huwa unaipotezeaje shikamoo?

Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
Shikamoo ni salamu ya kitumwa iliyopitwa na wakati.
 
Teh teh ulitaka kuandika kitu flan ila umejikanyaga mwenyew na tukaelewa.



JK & Mzee Ruksa wangekataa zile hongo za shangingi na kasri walizopewa kwa hisani ya Bi Mkubwa, kweli hiyo shikamoo nisingeipokea. Lakini kwa mwendo huu, upepo ni kwamba ukipewa chukua, if possible, kwa mikono yote miwili na miguu pia. Tanzania bila ushamba inawezekana.
 
Wachagga hawapendi uwape shikamoo ila wanapenda kuzitoa shikamoo kama maandazi yaliyokosa soko.

Mi nikikushindwa kujua salami ya kukupa naku [emoji2320]
Wachaga hawapendi ukubwa[emoji16]
 
Poleni na kazi wakuu,

Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi Cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au laa.

Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata Kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je huwa unaipotezeaje shikamoo?

Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
Unaweza pia kusema "heshima yako .....(kaka/bro, mkuu, dada/sis,kiongozi etc.)"
 
Mimi sasa hivi kumpa shikamo mtu mpaka ni hakikishe ana mvi kabisa naziona na au angalau awe na mtoto wa rika langu au kunizidi.

Zaidi ya hapo hapati mtu shikamo yangu
 
Poleni na kazi wakuu,

Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi Cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au laa.

Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata Kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je huwa unaipotezeaje shikamoo?

Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
Mi huwa na test siku ya kwanza shimakoo nxt day mambo au habari za asbh, atakayoitikia kimashamudhamu ndo ataendelea nayo until further notice......
 
Mimi sasa hivi kumpa shikamo mtu mpaka ni hakikishe ana mvi kabisa naziona na au angalau awe na mtoto wa rika langu au kunizidi.

Zaidi ya hapo hapati mtu shikamo yangu
Shikamoo kwa mtu wa namna hiyo huwa naitoa kwa moyo mkunjufu kabisaa!
 
Poleni na kazi wakuu,

Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au la.

Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.

Je, huwa unaipotezeaje shikamoo?

Mtu akikuzidi miaka mingapi anastahili kupewa shikamoo?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
 
Hii salamu ya bi maza inabidi irasimishwe iwe salamu ya taifa. shikamoo ni salamu ya kitumwa.
 
Assalam alaykum.

Haina mkubwa wala mdogo inaenea kwa wote
Mkubwa na mdogo mwabamke na mwanaume
 
Na tuna ndugu zetu Wajomba na baba wadogo ambao kwetu ni wakubwa na wanastahili shikamoo lakini wanaoa vibinti vidogo.... Sasa hapo unamsalimia " shikamoo baba mdogo au mjomba" Mke wake je??????

Mimi nadhani hii salami imekaa kitumwa zaidi na ibadilishwe.
 
Back
Top Bottom