Acha ushamba.JK & Mzee Ruksa wangekataa zile hongo za shangingi na kasri walizopewa kwa hisani ya Bi Mkubwa, kweli hiyo shikamoo nisingeipokea. Lakini kwa mwendo huu, upepo ni kwamba ukipewa chukua, if possible, kwa mikono yote miwili na miguu pia. Tanzania bila ushamba inawezekana.
Shikamoo ni salamu ya kitumwa iliyopitwa na wakati.Poleni na kazi wakuu,
Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi Cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au laa.
Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata Kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je huwa unaipotezeaje shikamoo?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
JK & Mzee Ruksa wangekataa zile hongo za shangingi na kasri walizopewa kwa hisani ya Bi Mkubwa, kweli hiyo shikamoo nisingeipokea. Lakini kwa mwendo huu, upepo ni kwamba ukipewa chukua, if possible, kwa mikono yote miwili na miguu pia. Tanzania bila ushamba inawezekana.
Maana yake ni ipi? Na marahaba ina maana gani?Maana ya shkamoo ndio mtiti
Wachaga hawapendi ukubwa[emoji16]Wachagga hawapendi uwape shikamoo ila wanapenda kuzitoa shikamoo kama maandazi yaliyokosa soko.
Mi nikikushindwa kujua salami ya kukupa naku [emoji2320]
Yaani ila wapambanishe kwa pesa hapo huwa hawashuki kujidogoisha.Wachaga hawapendi ukubwa[emoji16]
Unaweza pia kusema "heshima yako .....(kaka/bro, mkuu, dada/sis,kiongozi etc.)"Poleni na kazi wakuu,
Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi Cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au laa.
Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata Kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je huwa unaipotezeaje shikamoo?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
Mi huwa na test siku ya kwanza shimakoo nxt day mambo au habari za asbh, atakayoitikia kimashamudhamu ndo ataendelea nayo until further notice......Poleni na kazi wakuu,
Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi Cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au laa.
Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata Kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je huwa unaipotezeaje shikamoo?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
Shikamoo kwa mtu wa namna hiyo huwa naitoa kwa moyo mkunjufu kabisaa!Mimi sasa hivi kumpa shikamo mtu mpaka ni hakikishe ana mvi kabisa naziona na au angalau awe na mtoto wa rika langu au kunizidi.
Zaidi ya hapo hapati mtu shikamo yangu
Poleni na kazi wakuu,
Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au la.
Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je, huwa unaipotezeaje shikamoo?
Mtu akikuzidi miaka mingapi anastahili kupewa shikamoo?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu![emoji23][emoji23]
sio ya kwetu,ni ya utamaduni wa mwarabu,Assalam alaykum.
Haina mkubwa wala mdogo inaenea kwa wote
Mkubwa na mdogo mwabamke na mwanaume
Hapo kwenye heshima yako boss/kiongozi huwa najibu haizidi ya kwako mkuuHeshima yako boss
Heshima yako mzee
Habari ya kazi Mama
Habari