Huwa unasafirisha vipi mzigo wako kutoka Kariakoo kwenda mikoani kwa urahisi na nafuu?

Huwa unasafirisha vipi mzigo wako kutoka Kariakoo kwenda mikoani kwa urahisi na nafuu?

Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni

Sasa hujasema mkoa gani.

Ila tumia cargo ndio rahisi. Ziko hizi.. unaweza wacheck insta pia

1. Irish Cargo

2. Arusha cargo.

Mimi huwa nawatumia hawa nikiwa na mzigo.

NB: Bei inategemea na ukubwa wa mzigo ila ni kuanzia 5000 mpaka 10000 kwa mizigo mingi..
 
[emoji120][emoji120][emoji120]

Kariakoo Kuna transporter zinapeleka mizigo nzima na mataifa jirani kama Kenya, Congo, Zambia, Zimbabwe na Malawi

Unafuu inategemea na mzigo wenyewe kama

Kama Kuna mtu yeyote ana uhitaji wa kujua transporter ya mkoani kwani anicheki au areply kupitia hapa ntampa maelekezo ya ilipo na mawasiliano yao
Me nataka transporter wa kupeleka mzigo Uganda (cargo) kama tani 20
 
Sasa hujasema mkoa gani.

Ila tumia cargo ndio rahisi. Ziko hizi.. unaweza wacheck insta pia

1. Irish Cargo

2. Arusha cargo.

Mimi huwa nawatumia hawa nikiwa na mzigo.

NB: Bei inategemea na ukubwa wa mzigo ila ni kuanzia 5000 mpaka 10000 kwa mizigo mingi..
Nipo Singida mkuu
 
Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Kuna makampuni/ watu Wana ofisi za kupokea na kutuma mizigo, ulizie. Karibu Kila mkoa Kuna watu wanaopeleka hiyo mizigo, tembelea kidongo chekundu, unaulizia K
 
Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Jaribu hawa jamaa, nawatumiaga kwa mizigo yangu yote
 

Attachments

  • 54FB9C65-D12D-42AD-BC04-EBC07881AB63.jpeg
    54FB9C65-D12D-42AD-BC04-EBC07881AB63.jpeg
    108.1 KB · Views: 24
  • 44321BD7-F049-497B-9B6E-99AC3E761E41.jpeg
    44321BD7-F049-497B-9B6E-99AC3E761E41.jpeg
    129.2 KB · Views: 25
Jacobs wapo mitaa ya jangwani kkoo ,wanajitahidi
Hiyo ndio kampuni naitumia siku zote hata jana imenisafirishia mzigo mkubwa sana from Kariakoo mpaka huku mkoa wa?? Mzigo ulipakiwa juzi jioni nimepokea jana saa 8 mchana... Ila ungefika asubuhi Changamoto ni mvua kuathiri barabara.
 
ppia kama ukihithaji kuagiza mzigo kama huwezi kufika dar kuepusha garama wasiliana na mimi kukutafutia baadhi ya mizigo unayosumbuka kuipata ntakufanyia, swala la kuogopa kutapeliwa nitafutie ndugu yako mmoja aishie dar mkabidhi hela mimi nihangaike kukupatia mzigo yeye alipie mpaka mzigo uuupate mpaka utakapo niamini mana kazi hizi msingi ni uaminifu tuu. Nafanya hii kazi na nina wateja mikoa tofauti na nnje ya nchi pia ma machimbo ya bei nafuu na wachina ninao store zao no hizo hapo 255784705349,na255674846674
Nimeshachukua namba zako nitakutafuta..
 
🙏🙏🙏

Kariakoo Kuna transporter zinapeleka mizigo nzima na mataifa jirani kama Kenya, Congo, Zambia, Zimbabwe na Malawi

Unafuu inategemea na mzigo wenyewe kama

Kama Kuna mtu yeyote ana uhitaji wa kujua transporter ya mkoani kwani anicheki au areply kupitia hapa ntampa maelekezo ya ilipo na mawasiliano yao
Nitakucheki mkuu.👏
 
Back
Top Bottom