Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Inaitwa BACK TOWNArusha cargo.
Me nataka transporter wa kupeleka mzigo Uganda (cargo) kama tani 20[emoji120][emoji120][emoji120]
Kariakoo Kuna transporter zinapeleka mizigo nzima na mataifa jirani kama Kenya, Congo, Zambia, Zimbabwe na Malawi
Unafuu inategemea na mzigo wenyewe kama
Kama Kuna mtu yeyote ana uhitaji wa kujua transporter ya mkoani kwani anicheki au areply kupitia hapa ntampa maelekezo ya ilipo na mawasiliano yao
Mkuu sijawahi kutuma mzigo uganda ila Kuna jamaaa kanambia inaitwa F.KMe nataka transporter wa kupeleka mzigo Uganda (cargo) kama tani 20
Nipo Singida mkuuSasa hujasema mkoa gani.
Ila tumia cargo ndio rahisi. Ziko hizi.. unaweza wacheck insta pia
1. Irish Cargo
2. Arusha cargo.
Mimi huwa nawatumia hawa nikiwa na mzigo.
NB: Bei inategemea na ukubwa wa mzigo ila ni kuanzia 5000 mpaka 10000 kwa mizigo mingi..
Hawa wanapatikana sehemu gani mkuu na je unaweza nisaidia mawasiliano yaoMughuna transporter
Wapo mtaaa wa Nyamwezi na SwalaHawa wanapatikana sehemu gani mkuu na je unaweza nisaidia mawasiliano yao
Damas kwa Dodoma nao wapo vzrJacob Trans. Tegemeo namba moja kwa usafirishaji mizigo ya wafanyabiashara Dodoma
ShukranMkuu sijawahi kutuma mzigo uganda ila Kuna jamaaa kanambia inaitwa F.K
Kuna makampuni/ watu Wana ofisi za kupokea na kutuma mizigo, ulizie. Karibu Kila mkoa Kuna watu wanaopeleka hiyo mizigo, tembelea kidongo chekundu, unaulizia KWazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Ingia instagram chukua namba zao waulize kama wataweza kukusaidiaNipo Singida mkuu
Nshamuelekeza jina,namba na mtaa ilipo transporter ya singidaIngia instagram chukua namba zao waulize kama wataweza kukusaidia
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Jaribu hawa jamaa, nawatumiaga kwa mizigo yangu yoteWazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Hiyo ndio kampuni naitumia siku zote hata jana imenisafirishia mzigo mkubwa sana from Kariakoo mpaka huku mkoa wa?? Mzigo ulipakiwa juzi jioni nimepokea jana saa 8 mchana... Ila ungefika asubuhi Changamoto ni mvua kuathiri barabara.Jacobs wapo mitaa ya jangwani kkoo ,wanajitahidi
Nimeshachukua namba zako nitakutafuta..ppia kama ukihithaji kuagiza mzigo kama huwezi kufika dar kuepusha garama wasiliana na mimi kukutafutia baadhi ya mizigo unayosumbuka kuipata ntakufanyia, swala la kuogopa kutapeliwa nitafutie ndugu yako mmoja aishie dar mkabidhi hela mimi nihangaike kukupatia mzigo yeye alipie mpaka mzigo uuupate mpaka utakapo niamini mana kazi hizi msingi ni uaminifu tuu. Nafanya hii kazi na nina wateja mikoa tofauti na nnje ya nchi pia ma machimbo ya bei nafuu na wachina ninao store zao no hizo hapo 255784705349,na255674846674
Sawa boss wanguNimeshachukua namba zako nitakutafuta..
Nitakucheki mkuu.ππππ
Kariakoo Kuna transporter zinapeleka mizigo nzima na mataifa jirani kama Kenya, Congo, Zambia, Zimbabwe na Malawi
Unafuu inategemea na mzigo wenyewe kama
Kama Kuna mtu yeyote ana uhitaji wa kujua transporter ya mkoani kwani anicheki au areply kupitia hapa ntampa maelekezo ya ilipo na mawasiliano yao
Karibu sanaNitakucheki mkuu.π