dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Nanunua gunia la mkaa , naliweka nje
Mwenyewe atajiongeza
Mwenyewe atajiongeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni moja tu piga mahesabu yamuda uliyempotezea halafu umlipe halafu mwambie hukuwa mwaminifu kipindi hicho cha mahusiano umempa mtoto wa mchungaji mimba na umeamuriwa umuoe kwa lazima umuombe msamaha achana naye
Kila mtu binadamu mbinu yake ya kuachana na mpenzi wake pindi anapoona amemchoka na haitaji tena kuendelea na hayo mahusiano.
Hivi kupenda kwa dhati pia kunakufika mwisho?Nikipenda kwa dhati na akawa mstaarabu namwambia tu kuwa tumefika mwisho, kinyume na hapo ni mbinu yoyote tu ya dharau inatumika
Ndio ukiona mtu amekufanya pia unachoka kama hupendwi halafu wewe upo busy kupend aHivi kupenda kwa dhati pia kunakufika mwisho?
Hii mnaachana lakini anakuona boyaKuwa mbovu kitandan
Umeongea kama mwanaume.Hivi unaanza je kuachaana na mwanamke??
Mwanamke haachwi bana
Yeah hakuna lisilo na mwisho, mfano unampenda mtu kwa dhati kabisa lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wako haiwezekani kuendelea pamoja Tena, hapo huna namna ni kumuacha ile kiroho safi kabisaHivi kupenda kwa dhati pia kunakufika mwisho?
Nakazia!Ni kupunguza mawasiliano mwisho mtu anajiongeza mwenyewe
Wewe si umeolewa lakini?Nikipenda kwa dhati na akawa mstaarabu namwambia tu kuwa tumefika mwisho, kinyume na hapo ni mbinu yoyote tu ya dharau inatumika
Kuna sehemu nimekataa hilo? Dadavua mantiki ya swali lakoWewe si umeolewa lakini?
Sijauliza kwa ubaya. Mantiki ya swali ipo hapa "kama umeolewa usingeweza kuandika hivyo" labda ungeandika kwa wakati uliopita.Kuna sehemu nimekataa hilo? Dadavua mantiki ya swali lako
Ni kweli lakini hata huyu mume naweza kuachana nae pia, ndo maana nikaandika hivyo.Sijauliza kwa ubaya. Mantiki ya swali ipo hapa "kama umeolewa usingeweza kuandika hivyo" labda ungeandika kwa wakati uliopita.